Aqiida Ya Kundi lenye Ushindi

Citation preview

(Aqiida ya Twaaifah – Mansurah)

Sifa zote Njema ni za Allah SW Aliyeupatia Uislamu Izza kwa Nusra Yake, Aliyeudhalilisha ushirikina kwa Nguvu Zake, na ni Mwenye Kubadilisha mambo kwa Amri Yake, na Mwenye Kuwatia makafiri mtegoni, Aliyekadiria masiku kuwa ni mzunguko kwa Uadilifu Wake, na kwa Fadhla Yake Akajaaliya Mwisho Mwema ni kwa Wacha Mungu, Na Swala na Salamu zimfikie Aliyemteuza Allah SW kuinua Mnara wa Uislamu kwa Upanga Wake. Tunafurahai kutanguliza kwa Umma wa Kiislamu ndani ya Somalia hiki kitabu ambacho kimekusanya lulu zenye faida katika Aqiida ya Ahlu Sunnah wal Jama’ah, nacho ni juzuu katika msururu wa vitabu na vielezo vya Elimu tumenuia kuvisambaza na kupeana katika wilaya za Kiislamu Inshaa’Allah. Na tumechagua hiki kitabu ili kiwe ni mfumo wa masomo katika mwezi wa Ramadhani mwaka 1430Hijri kwa wilaya zote za Kiislamu, kwa mafunzo na hifdhi Inshaa’Allah. Hiki kitabu kimesifika kwa kujumuisha Njia ya Wema Walotangulia (SalafusSaleh) katika ufahamu wa Mas’ala ya Aqiida, vile vile kuzidisha maelezo kuhusu baadhi ya Mas’ala mapya ambayo wengi katika Ummah wa Kiislamu wameghafilika kuhusu hatari zao mfano Demokrasia, Usekula, Utaifa, Ukabila. Pia vile vile, kitabu kimesifika kwa njia nyepesi ya kufahamika kwake; kwani Sheikh (Rahimahullahu) ametumia usulubu mwepesi na njia sahali itakayofahamika na Waislamu wote na zaidi, wanaotafuta Elimu. Kitabu chenyewe kimefanywa kwa Mukhtasar na milango yake kuwekwa wazi. Pia inastahiki kutanabahisha kuwa Mwandishi kitabu Sheikh AbdulMajid bin Muhammad Al–Muni’ alikuwa kiungo katika kitengo cha Shari’ah, katika Tandhimu Qaaedatil Jihaad ndani ya Jazira ya Arabuni, na miongoni mwa wasomi watenda kazi–tumewahisabu hivyo na Allah Ndiye Mhisabu wao wa Hakika–walikuwa wakweli kwa Allah SW, naye Allah SW Akawafanya wakweli. Kisha Allah SW Hakujaalia Elimu yao kuwa kifaa katika mikono ya matwaghuti, kwa kuwatumia kugeuza Shari’ah ya Allah SW kwa Utwaghuti wao na kufanya waja wa Mwenyezi Mungu kuwa ni watumwa wao. Bali Sheikh alipigana Jihaad na Serikali ya Saudi kwa ulimi wake na mkuki wake, mpaka alipopata Shahada yake katika mji wa Riyadh tarehe 28 Sha’ban 1425Hijri, iliyoambatana na tarehe 12 Oktoba 2004, Tunamuomba Allah SW Atmtakabalie Shahada yake na Amtulize katika Pepo Yake Kunjufu. Aameen. Mwisho Tunawashukuru wasimamizi wa Minbarut – Tawheed – Wal – Jihaad akiwatangulia Sheikh Abu Muhammad Al–Maqdisi, Allah SW Amueke huru, tunawashukuru kwa juhudi zao nzuri, na amali zao nzito katika kutumikia na kueneza Tawheed na Jihaad, pia katika kutetea machimbuko yake na kuvunja hoja za wasomi walemavu na makuhani wa viongozi waovu. Na hii chapa ya kitabu tumeichukua kutoka kwa Minbar iyo hiyo yenye Baraka, Tunamuomba Allah SW Ajaaliye amali zetu ni zenye Ikhlas na Atutakabaliye sisi pamoja na Waislamu wote amali njema. Aameen. Ndugu zenu Ofisi ya Da’wah, Harakat Al–Shabab Al–Mujahidiin

‫بسم الله الرحمن الرحيم‬

Kwa Jina la Allah, Mwingi wa Rehma, Mwenye Kurehemu ٍ .‫محمد عليه وعلى آله وصحبه أتم الصالة والتسليم‬ ‫ نبينا‬،‫ والصالة والسالم على أشرف األنبياء والمرسلين‬،‫الحمد لله رب العالمين‬ Sifa Zote Njema ni za Allah, Mola wa walimwengu, na Swala na Salamu zimfikie Mtukufu wa Manabii na Mitume, Nabii wetu Muhammad pamoja na Familia yake na Maswahaba zake.

‫ْت الْ ِج َّن‬ ُ ‫ { َو َما َخلَق‬:‫ قال الله تعالى‬،‫فاعلموا عباد الله أن الله تعالى خلق الخلق لحكم ٍة عظيم ٍة وهي عبادته وحده ال شريك له‬ ِ ْ ‫َو‬ ‫] فنفى الله عن‬3 :‫ { َولَ أَنتُ ْم َعا ِب ُدو َن َما أَ ْع ُب ُد} [الكافرون‬:‫ ليوحدون يقول الله تعالى‬:‫] أي‬56 :‫نس إِلَّ لِ َي ْع ُب ُدونِ } [الذاريات‬ َ ‫ال‬ .‫المشركين عبادتهم له مع أنهم كانوا يقومون ببعض العبادات وذلك لعدم توحيدهم لله سبحانه وتعالى في العبادة‬ Ama baada (ya Himdi): Jueni Enyi waja wa Allah kuwa Allah SW Ameumba viumbe kwa hikma kubwa, nayo ni Ibada Yake Pekee bila ya kumshirikisha; Amesema Allah SW: {{Sikuwaumba majini na watu ila wapate kuniabudu}} [Suurah Adh–Dhaariyaat­­:56] yaani; Wampwekeshe (Wamuabudu Allah SW Pekee bila ya kumshirikisha na chochote) Allah SW Amesema: {{Wala nyinyi hamuabudu ninaye Muabudu}} [Suurah Al–Kaafirun 3] Basi Allah SW Akakanusha Ibada ya washirikina Kwake pamoja na kuwa hao washirikina walikuwa wakitekeleza baadhi ya Ibada, na sababu ni kukosekana (Tawheed) Kumpwekesha Allah SW katika Ibada.

.‫ هو إفراد الله سبحانه وتعالى بحقوقه‬:‫والتوحيد‬ .]18 :‫ { َوأَ َّن الْ َم َسا ِج َد لِلَّ ِه ف ََل تَ ْد ُعوا َم َع اللَّ ِه أَ َح ًدا} [الجن‬:‫قال تعالى‬

Tawheed

Na Tawheed ni Kumpwekesha Allah SW katika Haki Zake. Amesema Allah SW: {{Na kwa hakika Misikiti (yote) ni ya Mwenyezi Mungu, basi msimuabudu yeyote pamoja na Mwenyezi Mungu}} [Suurah Al–Jinn 18]

:‫وقد اصطلح بعض أهل العلم على تقسيم التوحيد إلى ثالثة أنواع‬ .‫ توحيد الربوبية‬:‫النوع األول‬ .‫ توحيد األلوهية‬:‫النوع الثاني‬ ‫ توحيد األسماء والصفات‬:‫النوع الثالث‬ Kwa Hakika baadhi ya wanazuoni wamefafanua Tawheed katika Aina tatu: Aina ya Kwanza: Tawheed–ur–Rubuubiyyah Aina ya Pili: Tawheed–ul–Uluuhiyyah Aina ya Tatu: Tawheed–ul–Asmaa wa Sifaat

ِ ‫الس َم‬ }‫اصطَ ِب ْر لِ ِعبا َدتِ ِه َه ْل ت َ ْعلَ ُم لَ ُه َس ِميًّا‬ ْ ‫وات واألَ ْر ِض َوما بَيْ َن ُهما فَا ْعبُ ْد ُه َو‬ َّ ‫ { َر ِّب‬:‫وقد ا ْجتَ َمعت هذه األقسام الثالثة في قولِ ِه تعالَى‬ ِ ‫الس َم‬ ‫اصطَ ِب ْر لِ ِعبا َدتِ ِه} فيه توحيد‬ ْ ‫ {فَا ْعبُ ْد ُه َو‬:‫ وقوله‬،‫وات واألَ ْر ِض َوما بَيْ َن ُهما} فيه توحيد الربوبية‬ َّ ‫ { َر ِّب‬:‫ فقوله تعالى‬،]65 :‫[مريم‬ .‫ { َه ْل تَ ْعلَ ُم لَ ُه َس ِم ًّيا} فيه توحيد األسماء والصفات‬:‫ وقوله‬،‫األلوهية‬ Na bila shaka zimekusanyika hizi Aina Tatu za Tawheed katika Kauli ya Allah SW: {{Mola wa Mbingu na Ardhi na vyote vilivyo baina yake. Basi muabudu Yeye tu na udumu katika Ibada Yake. Je, unamjua (mwingine) mwenye jina lake (Mwenyezi Mungu, aliye kama Yeye)?}} [Suurah Maryam 65]

  4  |  Aqiida Ya Kundi Lenye Ushindi 

Basi Kauli Ya Allah SW {{Mola wa Mbingu na Ardhi na vilivyo baina yake}} ni dalili ya Tawheed Rubuubiyyah, Na Kauli Ya Allah SW {{Basi muabudu Yeye tu na udumu katika Ibada Yake}} ni dalili ya Tawheed Uluuhiyyah, Na Kauli ya Allah SW {{Je, unamjua (mwingine) mwenye jina lake (Mwenyezi Mungu, aliye kama Yeye)?}} ni dalili ya Tawheed Asmaa wa Sifaat.

:‫ توحيد الربوبية‬:‫النوع األول‬ .‫ واألمر وغير ذلك من أفعاله‬،‫ والملك‬،‫وهو إفرا ُد الله بأفعاله كالخلق‬ .]54 :‫ {أَالَ لَ ُه الْ َخل ُْق َواألَ ْم ُر} [األعراف‬:‫فنعتقد بانفراده بالخلق واألمر كما قال تعالى‬

Aina ya Kwanza: Tawheed–ur–Rubuubiyyah

Nayo ni kumpwekesha Allah SW kwa Matendo Yake kama Uumbaji, na Umiliki, na Uamrishaji. Basi tutaamini na kuitakidi kuwa Allah SW ni Pekee katika Kuumba na Kuamrisha kama Alivyosema Allah SW: {{Fahamuni. Kuumba (ni Kwake tu Mwenyewe Mwenyezi Mungu) na Amri zote ni Zake (Mwenyezi Mungu)}} [Suurah Al–A’raaf 54]

ِ ‫الس َما َو‬ .]42 :‫ات َوالْ َ ْر ِض} [النور‬ َّ ‫ { َولِلَّ ِه ُمل ُْك‬:‫وال يملك الخلق إال الله قال تعالى‬ Na tunaitakidi vile vile kuwa Hamna anayemiliki viumbe isipokuwa Allah SW Pekee, Amesema Allah SW: {{Na ni wa Mwenyezi Mungu (tu) Ufalme wa mbingu na ardhi, na kwa Mwenyezi Mungu ndiko marejeo (ya wote)}} [Suurah An–Nuur 42]

‫ فهم يؤمنون بأن الله هو الخالق الرازق المدبر ليس له شريك في ملكه ولذلك كان القرآن يستدل‬،‫وهذا النوع يُق ُّر به حتى الكفار‬ ‫الس َماء َواألَ ْر ِض أَ َّمن يَ ْملِ ُك‬ َّ ‫ {ق ُْل َمن يَ ْر ُزقُكُم ِّم َن‬:‫بتوحيد الربوبية الذي يُق ّرون به على توحيد األلوهية الذي يُنكرونه قال تعالى‬ َ .]31:‫الس ْم َع واألَبْ َصا َر َو َمن يُ ْخر ُِج الْ َح َّي ِم َن الْ َم ِّي ِت َويُ ْخر ُِج الْ َم َّي َت ِم َن الْ َح ِّي َو َمن يُ َدبِّ ُر األَ ْم َر ف ََس َيقُولُو َن اللّ ُه فَق ُْل أفَالَ تَتَّقُونَ} [يونس‬ َّ Na hii aina ya Tawheed wanaikubali hata makafiri, kwani wanaamini kuwa Allah SW Ndiye Muumba, Mwenye Kuruzuku, Mwenye Kupanga mambo yote, Hana mshirika katika Milki Yake. Kwa sababu ya hilo Qur’aan ikatolea dalili ya Tawheed Rubuubiyyah wanayoikubali juu ya Tawheed Uluuhiyyah wanayoipinga (hao makafiri). Akasema Allah SW: {{Sema: “Ni Nani Anayekuruzukuni kutoka mbinguni (kwa kuleta mvua) na katika ardhi (kwa kuotesha mimea)? Au ni Nani Anayemiliki masikio (yenu) na macho (yenu)? Na Nani Amtoaye mzima katika mfu na Kumtoa mfu katika mzima? Na Nani Atengezaye mambo yote?” Watasema: Ni Mwenyezi Mungu.” Basi sema: “Je! Hamuogopi? (Mnawaabudu wengine pamoja Naye)!”}} [Suurah Yunus 31]

:‫ توحيد األلوهية‬:‫النوع الثاني‬ .‫وهو إفراد الله تعالى بأفعال العباد كالدعاء والخوف والرجاء والمحبة والتوكل واإلنابة وغيرها من أنواع العبادة‬ .]21 :‫اس ا ْعبُ ُدوا ْ َربَّ ُك ُم ال َِّذي َخلَ َق ُك ْم َوال َِّذي َن ِمن قَبْلِ ُك ْم لَ َعلَّ ُك ْم تَتَّقُونَ} [البقرة‬ ُ ‫ {يَا أَيُّ َها ال َّن‬:‫قال تعالى‬

Aina ya Pili: Tawheed–ul–Uluuhiyyah

Nayo ni kumpwekesha Allah SW kupitia vitendo vya waja wake kama kuomba dua, kuwa na khofu, kuwa na matarajio, kuwa na mahaba, kuwa na tawakkul (kumtegemea Allah SW Pekee), kuleta toba na mengineo katika sampuli za Ibada. Amesema Allah SW: {{Enyi watu! mwabuduni Mola Wenu Ambaye Amekuumbeni nyinyi na wale wa kabla yenu, ili mpate kuokoka}} [Suurah Al–Baqarah 21]

ِ ‫ { َو َما أَ ْر َسلْ َنا ِمن قَبْلِ َك ِمن َّر ُسو ٍل إِالَّ ن‬:‫وتوحيد األلوهية هو دعوة جميع الرسل من أولهم إلى آخرهم قال تعالى‬ َّ‫ُوحي إِلَيْ ِه أنَّ ُه الَ إِلَ َه إِال‬ .]36 :‫ { َولَ َق ْد بَ َعثْ َنا ِفي ك ُِّل أُ َّم ٍة َّر ُسوالً أَنِ ا ْع ُب ُدوا ْ اللّ َه َوا ْجتَ ِن ُبوا ْ الطَّاغُوتَ } [النحل‬:‫ وقال تعالى‬،]25:‫أَنَاْ فَا ْع ُب ُدونِ } [األنبياء‬   Abdul-Majid bin Muhammad Al-Munii‘  |  5 

Na Tawheed Uluuhiyyah ndiyo Da’wah ya Mitume wote kuanzia wa mwanzo hadi wa mwisho wao. Amesema Allah SW: {{Na Hatukumtuma kabla yako Mtume yeyote ila Tulimfunulia ya kwamba hakuna aabudiwaye ila Mimi, basi Niabuduni}} [Suurah Al–Anbiyaa 25]. Na Akasema Allah SW: {{Na bila shaka Tulimpeleka Mtume katika kila ummah ya kwamba “Muabuduni Mwenyezi Mungu na mwepukeni (Iblisi) muovu”}} [Suurah An–Nahl 36]

‫ وأباح به دماءهم وأموالهم ونساءهم كما جاء في الحديث المتواتر قال صلى‬،‫وهو الذي أنكره الكفار وكفَّر الله به المشركين‬ ‫ (أمرت أن أقاتل الناس حتى يقولوا ال إله إال الله فإذا قالوا ال إله إال الله عصموا مني دماءهم وأموالهم إال بحقها‬:‫الله عليه وسلم‬ .‫وحسابهم على الله) أخرجاه في الصحيحين‬ Na hii Tawheed ndiyo walokanusha makafiri, na ndiyo (Allah SW) Aliyowakufurisha nayo washirikina, na Akahalalisha damu zao, mali zao, na wake zao kama ilivyopokewa katika hadithi mutawaatir (isiyo na shaka wala pingamizi), Amesema Mtume SAW: [Nimeamrishwa niwapige vita watu mpaka wakubali LA ILAHA ILLA ALLAH (Hamna Mola Apasaye kuabudiwa kwa Haki isipokuwa Allah Pekee), na pindi watakapokubali LA ILAHA ILLA ALLAH basi itahifadhika kwangu damu zao na mali zao, ila kwa haki zao na hisabu yao iko kwa Allah SW] (imepokewa na Bukhari na Muslim).

‫ {إِنَّ ِني أَنَا اللَّ ُه َل‬:- ‫ عليه السالم‬- ‫حق إال الله قال تعالى لكليمه موسى‬ ٌّ ‫ ال معبود‬:‫ فمعناها‬.‫ ال إله إال الله‬:‫وهذا النوع هو معنى قول‬ ]14 :‫الص َل َة لِ ِذكْرِي} [طه‬ َّ ‫إِلَ َه إِلَّ أَنَا فَا ْع ُب ْدنِي َوأَ ِق ِم‬ Na Hii aina ya pili ndiyo maana ya LA ILAHA ILLA ALLAH yaani: Hakuna Anaye–abudiwa kwa Haki isipokuwa Allah SW Pekee: Amesema Allah SW kwa mzungumzi Wake Nabii Musa AS: {{Kwa yakini Mimi ndiye Mwenyezi Mungu, Hakuna aabudiwaye kwa Haki ila Mimi, Basi Niabudu na Usimamishe Swala kwa kunitaja}} [Suurah Twaha 14]

:‫وهي تشتمل على ركنين‬ .‫ نافياً جميع ما يعبد من دون الله‬،‫ ال إله‬:‫ النفي في قوله‬:‫األول‬ .‫ ُمثبتاً العبادة لله وحده ال شريك له في عبادته كما أنه ال شريك له في ُملكه وربوبيته‬،‫ إال الله‬:‫ اإلثبات في قوله‬:‫الثاني‬ Na Kalima ya LA ILAHA ILLA ALLAH ina nguzo mbili: 1. Ya Kwanza: Ni KUKANUSHA katika kauli ya LA ILAHA yaani imekanusha kila twaaghut (yaani yoyote na chochote kinachoabudiwa Asiyekuwa Allah SW). 2. Ya Pili: Ni KUTHIBITISHA katika kauli ya ILLA ALLAH yaani imethibitisha Ibada zote kwa Allah SW Pekee, Ambaye Hana mshirika katika Kuabudiwa Kwake kama vile Hana mshirika katika Milki Yake na Uumbaji Wake.

ِ ‫ {فَ َم ْن يَ ْك ُف ْر بِالطَّاغ‬:‫فال يتم التوحيد إال بهذين الركنين قال الله تعالى‬ }‫ُوت َويُ ْؤ ِمن بِاللّ ِه فَق َِد ْاستَ ْم َس َك بِالْ ُع ْر َو ِة الْ ُوثْق ََى الَ ان ِف َصا َم لَ َها‬ ‫ وجاء في صحيح اإلمام مسلم أن رسول الله صلى الله‬،]36 :‫ {أَنِ ا ْعبُ ُدوا ْ اللّ َه َوا ْجتَ ِنبُوا ْ الطَّاغُوتَ } [النحل‬:‫ وقال سبحانه‬،]256 :‫[البقرة‬ .)‫ ال إله إال الله وكفر بما يعبد من دون الله حرم ماله ودمه وحسابه على الله‬:‫ (من قال‬:‫عليه وسلم قال‬ Basi Tawheed haiwezekani kutimia ila kwa hizi nguzo mbili: Amesema Allah SW: {{Basi anayemkataa twaaghut na akamwamini Mwenyezi Mungu, bila shaka ameshika kishiko chenye nguvu kisichokuwa na kuvunjika}} [Suurah Al–Baqarah 256]. Na Akasema Allah SW: {{Na bila shaka Tulimpeleka Mtume katika kila ummah ya kwamba “Muabuduni Mwenyezi Mungu na mwepukeni twaaghut (Iblisi) muovu”}} [Suurah An–Nahl 36]. Na imepokewa katika Sahih Muslim kuwa Mtume SAW Amesema: [Atakayekubali LA ILAAHA ILLA ALLAH, na akakufurisha (yaani akakanusha twaaghut) yoyote na chochote kinachoabudiwa asiyekuwa Allah SW, basi mali yake na damu yake ni haramu na hisabu yake iko kwa Allah SW]   6  |  Aqiida Ya Kundi Lenye Ushindi 

،‫ والسحرة‬،ُ‫ مثل ال ُك َّهان‬:‫ والمتبوع‬.‫ مثل األصنام‬:‫ فالمعبود‬.ٍ‫ هو كل ما تجاوز به العبد ح َّده من معبو ٍد أو متبو ٍع أو مطاع‬:‫والطاغوت‬ ‫ وكالحكومات‬،ً‫ مثل الطواغيت المعاصرة كالمحاكم القانونية سوا ًء أكانت إقليميَّ ًة أو محليَّ ًة أو عالميَّة‬:‫ والمطاع‬.‫وعلماء السوء‬ ،‫ وكالمجالس التشريعية البرلمانية وأمثالها‬،‫ وكالحك َِّام ال ُمشركين‬،‫الطاغوتية‬ Na Twaaghut ni chochote kile au kila yule ambaye, katika kuabudiwa kwake, kufuatwa kwake au kutiiwa kwake basi mwanadamu atakuwa amevuka mpaka, (na kichwa chao ni Ibilisi). Mfano wa anayeabudiwa ni masanamu. Mfano wa wanaofuatwa ni makuhani, wachawi na mashekhe waovu. Mfano wa wanaotiiwa ni hawa matwaaghut wa kisasa kama vile mahakama za kanuni sawa ziwe ni za mkoa, vijijini au ulimwenguni, na kama serikali za kitwaaghuti na viongozi washirikina, na kama vikao vya bunge vya kutunga sheria na mfano wake.

‫ والفاعل‬،‫أحل الله من أجل تحريمهم له فهؤالء طواغيت‬ َّ ‫ ويُح ِّرم ما‬،‫حل ما ح َّرم الله من أجل تحليلهم له‬ ُّ ُ‫فإذا اتخذهم اإلنسان أرباباً ي‬ ِ‫ {أَلَ ْم ت َ َر إِلَى ال َِّذي َن يَ ْز ُع ُمو َن أَنَّ ُه ْم آ َم ُنوا ْ ِب َما أُنز َِل إِلَيْ َك َو َما أُنز َِل ِمن قَبْلِ َك يُرِي ُدو َن أَن يَتَ َحاكَ ُموا ْ إِلَى الطَّاغُوت‬:‫عاب ٌد للطاغوت قال تعالى‬ ‫ {اتَّ َخذُوا ْ أَ ْحبَا َر ُه ْم َو ُر ْهبَانَ ُه ْم أَ ْربَابًا ِّمن‬:‫ وقال سبحانه‬،]60:‫َوقَ ْد أُ ِم ُروا ْ أَن يَ ْك ُف ُروا ْ ِب ِه َويُرِي ُد الشَّ يْطَا ُن أَن يُ ِضلَّ ُه ْم ضَ الَالً بَ ِعي ًدا} [النساء‬ ِ ‫يح ابْ َن َم ْريَ َم َو َما أُ ِم ُروا ْ إِالَّ لِ َي ْع ُب ُدوا ْ إِلَ ًها َو‬ ‫] عن عدي بن حاتم‬31:‫اح ًدا الَّ إِلَ َه إِالَّ ُه َو ُس ْب َحانَ ُه َع َّما يُشْ ِركُونَ} [التوبة‬ َ ‫ُدونِ اللّ ِه َوالْ َم ِس‬ َ َ ‫ إنا‬:‫ (فقلت له‬:‫ قال‬،‫ {ات َّ َخذُوا ْ أ ْح َبا َر ُه ْم َو ُر ْه َبانَ ُه ْم أ ْربَابًا} اآلية‬:‫ أنه سمع النبي صلى الله عليه وسلم يقرأ هذه اآلية‬:‫رضي الله عنه‬ ‫ (فتلك عبادتهم) رواه‬:‫ (بلى) قال‬:‫ ويُحلُّو َن ما ح ّر َم الله فتُحلُّونَ ُه؟) فقلت‬،‫أحل الل ُه فتُح ِّرمونَ ُه‬ ّ ‫ (أليس يُح ِّرمون ما‬:‫لسنا نعبدهم) قال‬ .‫ وقد أجمع أهل العلم على تفسير هذه اآلية بما جاء في الحديث‬،‫الترمذي‬ Basi mtu akiwafanya kuwa ni miungu, wanahalalisha Aliyoharamisha Allah SW ili kumhalalishia huyo mtu, na kuharamisha Aliyohalalisha Allah SW ili kumharamishia huyo mtu, basi hawa watakuwa ni matwaaghut, na mwenye kutenda atakuwa anaabudu twaaghut.Amesema Allah SW: {{Huwaoni wale wanaodai kwamba wameamini yale yaliyoteremshwa kwako na yaliyoteremshwa kabla yako? Nao wanataka wahukumiwe kwa njia ya twaaghut (isiyowafiki Sharia); na hali wameamrishwa kukanusha njia hiyo. Na Shetani anataka kuwapoteza upotofu (upotevu) ulio mbali (na haki)}} [Suurah An–Nisaa 60]. Na Akasema Allah SW: {{Wamewafanya wanavyuoni wao na watawa wao kuwa ni miungu badala ya Mwenyezi Mungu, na (wamemfanya) Masihi mwana wa Maryamu (pia Mungu), hali hawakuamrishwa isipokuwa kumuabudu Mungu Mmoja, hakuna anayestahiki kuabudiwa ila Yeye. Ametakasika na yale wanayomshirikisha nayo}} [Suurah At–Tawbah 31]. Imepokewa kwa Adiy bin Haatim RA kuwa alimsikia Mtume SAW akisoma aya hii {{ Wamewafanya wanavyuoni wao na watawa wao kuwa ni miungu}} akasema: Nilimwambia Mtume SAW “Hakika sisi tulikuwa hatuwaabudu” Akasema Mtume SAW: [Je walikuwa hawaharamishi alichohalalisha Allah SW na mukakubali kuwa ni haramu, na wakihalalisha alichoharamisha Allah SW na mukakubali kuwa ni halali?] Nikajibu: Ndivyo. Akasema Mtume SAW: [Basi huko ndiko kuwaabudu.] Amepokea hadithi hii Al–Imam At–Tirmidhy na wamekubaliana wanazuoni kuwa tafsiri ya ayah hii ni kama ilivyokuja katika hadithi hii ya Adiy bin Haatim RA.

‫ {قَ ْد كَان َْت لَ ُك ْم أُ ْس َو ٌة َح َس َن ٌة ِفي‬:‫ وعدم ال ِّرضى بعبادته بوج ٍه من الوجوه قال تعالى‬،‫ويدخل في الكفر بالطَّاغوت معاداته و بغضه‬ ‫إِبْ َرا ِهي َم َوال َِّذي َن َم َع ُه إِ ْذ قَالُوا لِ َق ْو ِم ِه ْم إِنَّا بُ َراء ِمن ُك ْم َو ِم َّما تَ ْع ُب ُدو َن ِمن ُدونِ اللَّ ِه كَ َف ْرنَا ِب ُك ْم َوبَ َدا بَ ْي َن َنا َوبَ ْي َن ُك ُم الْ َع َدا َو ُة َوالْ َبغْضَ اء أَبَ ًدا‬ }‫ { َوال َِّذي َن ا ْجتَ َن ُبوا الطَّاغُوتَ أَن يَ ْع ُب ُدو َها َوأَنَابُوا إِلَى اللَّ ِه لَ ُه ُم الْ ُبشْ َرى فَ َبشِّ ْر ِع َبا ِد‬:‫ وقال تعالى‬،]4 :‫َحتَّى ت ُ ْؤ ِم ُنوا بِاللَّ ِه َو ْح َد ُه} [الممتحنة‬ .]17 :‫[الزمر‬ Na vile vile katika kumkufurisha twaghut ni kumfanyia uadui na kumchukia, na kutoridhia ibada yake katika sura yoyote ile: Amesema Allah SW: {{Hakika nyinyi muna mfano mzuri kwa (Nabii) Ibrahimu na wale waliokuwa pamoja naye, walipowaambia jamaa zao (makafiri): “Kwa yakini sisi tu mbali nanyi, na mbali na hayo mnayoyaabudu kinyume cha Mwenyezi Mungu (tumejiepusha na nyinyi na haya mnayoyaabudu); tunakukataeni, umekwishadhihiri uadui na bughudha ya daima baina yetu na

  Abdul-Majid bin Muhammad Al-Munii‘  |  7 

nyinyi mpaka mtakapomuamini Mwenyezi Mungu Peke Yake”}} [Suurah Al–Mumtahanah 4] Na Akasema Allah SW: {{Na wale wanaojiepusha kufanya ibada ya masanamu, na wakanyenyekea kwa Mwenyezi Mungu, habari njema (bishara njema) ni zao. Basi wape habari njema waja wangu hawa}} [Suurah Az–Zumar 17]

:‫ متض ِّمن ٌة له؛ ألن القرآن‬،‫ شاهد ٌة به‬،‫ فهي داعي ٌة إلى هذا التوحيد‬،‫(وكل آي ٍة في القرآن‬ ُّ :‫قال ابن القيم رحمه الله‬ .‫الصفات‬ ِّ ‫ وتوحيد‬،‫ وهو توحيد ال ُّربوب َّية‬،‫•إما خب ٌر عن الله تعالى وأسمائه وصفاته وأفعاله‬ ‫ فهذا هو‬،‫ونهي عن المخالفات‬ ٌ ،‫ أو أم ٌر بأنوا ٍع من العبادات‬،‫ وخلع ما يعبد من دونه‬،‫•وإما دعا ٌء إلى عبادته وحده ال شريك له‬ .‫توحيد اإللهيَّة والعبادة‬ .‫ فهو جزاء توحيده‬،‫ وما يكرمهم به في اآلخرة‬،‫ وما فعل بهم في ال ُّدنيا‬،‫•وإما خب ٌر عن إكرامه ألهل توحيده وطاعته‬ ‫ فهو جزا ُء من خرج عن حكم‬،‫ وما يُ ِح ُّل بهم في ال ُعقبى من ال َوبَال‬،‫•وإما خب ٌر عن أهل الشِّ رك وما فعل بهم في ال ُّدنيا من ال َّنكال‬ .)‫التوحيد‬



Amesema Al–Imam Ibn–Ul Qayyim (Rahimahullah): “Na kila Aya katika Qur’aan inalingania Tawheed, inashuhudia Tawheed na imekusanya Tawheed kwa sababu Qur’aan: •  ima ni khabari kumhusu Allah SW, Majina Yake, Sifa Zake, Matendo Yake, Nayo itakuwa ni Tawheed Rubuubiyyah na Tawheed Asmaa wa Sifaat •  na ima italingania waja wa Allah SW katika kumuabudu Allah SW Peke Yake bila ya kuwa na mshirika, na kujivua kutokana na yote yanayoabudiwa kinyume na Allah SW, au ni amri ya kutekeleza sampuli za ibada au makatazo ya kwenda kinyume na maamrisho, Nayo itakuwa ni Tawheed Uluuhiyyah na Ibaadah •  na ima itakuwa ni khabari kuhusu kutukuzwa watu wa Tawheed na wenye kutii, na Alichowafanyia Allah SW duniani, na watakachokirimiwa nacho kesho Aakhera, basi hiyo itakuwa ni malipo ya Tawheed (yaani malipo ya Kumpwekesha Allah SW) •  na ima ni khabari kuhusu watu wa shirki, pamoja na waliyofanyiwa duniani ya mateso, na wanachostahiki katika adhabu ya Aakhera, nayo ndiyo malipo ya watakaotoka katika hukmu ya Tawheed (Waliomshirikisha Allah SW).

ٍ ‫وهذا التوحيد هو حقيقة دين اإلسالم الذي ال يقبل الله من‬ ‫الم ِديناً فَلَ ْن يُ ْقبَ َل ِم ْن ُه َو ُه َو‬ ِ ‫ { َو َم ْن يَبْتَغِ َغيْ َر الْ ِ ْس‬:‫ قال تعالى‬،‫أحد سواه‬ .]85 :‫ِفي ْال ِخ َر ِة ِم َن الْ َخ ِاسرِي َن} [آل عمران‬ ُ ‫ { َو َما أ ِم ُروا إِلَّ لِ َي ْع ُب ُدوا اللَّ َه‬:‫فيجب إخالصها جميعاً لله سبحانه وتعالى قال تعالى‬ ،‫ويتضمن هذا التوحيد جميع أنواع العبادة‬ ُ ِ ِ ِ .]5 :‫الص َل َة َويُ ْؤتُوا ال َّزكَا َة َو َذل َك دي ُن الْ َقيِّ َمة} [البينة‬ َّ ‫ُم ْخلِ ِصي َن لَ ُه ال ِّدي َن ُح َنفَاء َويُ ِقي ُموا‬ Na Hii Tawheed ndiyo hakika ya Dini ya Uislamu ambayo Allah SW Hakubali kutoka kwa yeyote isipokuwa Tawheed hiyo. Amesema Allah SW: {{Na yeyote atakayefuata dini isiyokuwa ya Uislamu basi haitokubaliwa kwake yeye, naye Aakhera atakuwa miongoni mwa wenye khasara}} [Suurah Al–Imraan 85] Na imekusanya hii Tawheed sampuli zote za Ibada, basi inalazimu kuzifanya zote kwa Ikhlaas, yaani kumtakasia Allah SW nia na makusudio yako katika ibada zote. Amesema Allah SW: {{Wala hawakuamrishwa ila kumuabudu Mwenyezi Mungu kwa kumtakasia Dini, wawache dini za upotofu (upotevu) na wasimamishe Swala, na kutoa Zakah – hiyo ndiyo Dini iliyo sawa (Nao wameikataa)}} [Suurah Al–Bayyinah 5]

  8  |  Aqiida Ya Kundi Lenye Ushindi 

:‫ توحيد األسماء والصفات‬:‫النوع الثالث من أنواع التوحيد‬ ِ ‫والص‬ : ِ‫ وهذا يتض َّم ُن شيئين‬،‫فات‬ َّ ‫وهو إفرا ُد الل ِه َع َّز‬ ِّ ‫اختص به ِمن األسما ِء‬ َّ ‫وجل بما‬ ِ ‫وجل جمي َع أسمائِ ِه وصفاتِ ِه التي أث َبتَها‬ .‫لنفس ِه في كتاب ِه أو س َّن ِة نب ِّي ِه صلى الله عليه وسلم‬ َّ ‫ُثبت لل ِه ع َّز‬ َ ‫ وذلك بأن ن‬،‫ اإلثبات‬:‫ •األول‬ ‫الس ِمي ُع‬ َّ ‫ {لَ ْي َس كَ ِمثْلِ ِه شَ ْي ٌء َو ُه َو‬:‫ وذلك كما قال تعالَى‬،‫ وذلك بأن ال نج َع َل لل ِه مثيالً في أسمائِ ِه وصفاتِ ِه‬،‫َفي المماثل ِة‬ ُ ‫ ن‬:‫ •الثاني‬ .]11 :‫البَ ِصي ُر} [الشورى‬ .‫الس ِمي ُع ال َب ِصي ُر} فيه إثبات لصفتي السمع والبصر‬ َّ ‫ { َو ُه َو‬:‫فقوله سبحانه وتعالى‬ ٍ ‫ {لَ ْي َس كَ ِمثْلِ ِه شَ ْي ٌء} فيه نفي مماثلته سبحانه وتعالى‬:‫وقوله سبحانه وتعالى‬ .‫ألحد من خلقه‬

Aina ya Tatu: Tawheed–ul–Asmaa’ was–Sifaat

Nayo ni kumpwekesha Allah SW kwa Aliyoyakhusisha Kwa Nafsi Yake katika Majina na Sifa Zake; Na hili limekusanya mambo mawili.

•  La Kwanza: ITHBAAT; Kuthibitisha na kuyakinisha Majina Yote ya Allah SW na Sifa Zake Ambazo Amezithibitisha na Kuyakinisha Mwenyewe kwa Nafsi Yake katika kitabu chake au Sunnah ya Mtume Wake SAW. •  La Pili: NAFYUL–MUMAATHALAH; Kukanusha Kufananisha, yaani Tukome kumfananisha Allah SW katika Majina yake na Sifa Zake, na hilo ni kama alivyosema Allah SW: {{Hakuna chochote mfano Wake, naye ni Mwenye Kusikia, Mwenye Kuona}} [Suurah Ash–Shuura 11] Basi Kauli Yake Allah SW: {{Naye ni Mwenye Kusikia, Mwenye Kuona}} imethibitisha sifa mbili; ya Kusikia na ya Kuona. Na Kauli Yake Allah SW: {{Hakuna chochote mfano Wake}} imekanusha kuweko mfano wa Majina na Sifa Zake Allah SW katika viumbe Vyake.

:‫وقد ضلَّت في هذا طائفتان‬ ‫ وهكذا غيرها من‬،‫ وبص ٌر كبصري‬،‫ لله سم ٌع كسمعي‬:‫ •الطائفة األولى؛ سلكت مسلك التمثيل فشبهت الله بالمخلوقين فقالت‬ .}‫ {لَ ْي َس كَ ِمثْلِ ِه شَ ْي ٌء‬:‫ والرد على هؤالء من اآلية قوله تعالى‬،‫الصفات‬ ‫ •الطائفة الثانية؛ هربت مما وقعت فيه الطائفة األولى من التمثيل فسلكت مسلك التعطيل فنفوا عن الله سبحانه وتعالى ما‬ ‫ أو نفوا عل َّوه واستواءه‬،‫ وال بصر‬،‫ ليس لله سم ٌع‬:‫أثبته لنفسه وأثبته له رسوله صلى الله عليه وسلم من األسماء والصفات فيقولون‬ .}‫الس ِمي ُع ال َب ِصي ُر‬ َّ ‫ { َو ُه َو‬:‫ والرد على هؤالء من اآلية قوله تعالى‬،‫على عرشه وغيرها من الصفات‬ Hakika makundi mawili yameingia ndani ya upotofu katika Tawheed Hii ya Asmaa na Sifaat: •  Kundi la kwanza: Walifuata njia ya Tamtheel, wakamfananisha Allah SW na viumbe, kwa kusema Allah SW anasikia kama ninavyosikia, na anaona kama ninavyo–ona, na wakasema vivi hivi katika sifa zingine na kuwajibu hawa wapotofu ni kwa Kauli ya Allah SW: {{Hakuna chochote mfano Wake}} •  Kundi la Pili: Waliepukana na kundi la kwanza katika kumfananisha Allah SW na viumbe, lakini wakapita njia ya kubatilisha, basi wakapinga Yote Aliyothibitisha Allah SW kwa Nafsi Yake na aliyothibitisha Mtume SAW ya Majina na Sifa za Allah SW, kwa kusema: Allah Hasikii, wala Haoni, au wakapinga Allah SW Kuwa Juu na Kustawi Kwake Juu ya Arshi Yake, na mengineo katika Sifa za Allah SW. Na Jibu la kundi hili katika Aya ni Kauli ya Allah SW: {{Naye ni Mwenye Kusikia, Mwenye Kuona}}   Abdul-Majid bin Muhammad Al-Munii‘  |  9 

ٍ ‫تحريف وال‬ ‫ ِم ْن غي ِر‬،‫ وعلى لسانِ رسولِ ِه صلى الله عليه وسلم‬،‫ أن نؤمن بأسمائه وصفاته التي ذكر الله تعالى في كتا ِب ِه‬:‫فالواجب‬ ُ َ ِ ٍ َّ َ َ َ ٍ‫تمثيل‬ :‫]؛ فيقال‬4 :‫ { َول ْم يَكُن ل ُه كُ ُف ًوا أ َح ٌد} [اإلخالص‬:‫ وقال تعالى‬،]65 :‫ { َه ْل تَ ْعل ُم ل ُه َسميًّا} [مريم‬:‫قال تعالى‬ ‫تعطيلٍ وال تكييف وال‬ .‫ وبص ٌر ليس كبصر المخلوق‬،‫لله سم ٌع ليس كسمع المخلوق‬ Basi ni Lazima sisi tuamini Majina Yake na Sifa Zake ambazo Amezitaja Allah SW katika Kitabu Chake na katika ulimi wa Mtume Wake SAW Bila ya Tahreef (kugeuza maana), wala Ta’teel (Kuipinga), wala Takyeef (Kuonesha maana yake), wala Tamtheel (Kufananisha). Amesema Allah SW: {{Je, unamjua (mwingine) mwenye jina lake (Mwenyezi Mungu, aliye kama yeye)?}} [Suurah Maryam 65]. Na Akasema Allah SW: {{Wala hana anayefanana Naye hata mmoja}} [Suurah Al–Ikhlaas 4]. Kwa hivyo la wajibu kwetu ni kusema: Allah SW Anasikia lakini sio kama wanavyosikia viumbe, na Allah SW Anaona lakini sio kama wanavyoona viumbe.

:‫الشرك‬ .‫ وهو إشراك غير الله فيما هو من خصائص الله‬:‫إذا تبيَّن هذا فاعلم أ َّن ضد التوحيد الشِّ رك‬ .]98-97 :‫ {ت َاللَّ ِه إِن كُ َّنا لَ ِفي ضَ َل ٍل ُّمبِينٍ * إِ ْذ ن َُس ِّويكُم ِب َر ِّب الْ َعالَ ِمي َن} [الشعراء‬:‫قال تعالى حاكياً ما يقوله المشركون آللتهم في النار‬ :‫وهو نوعان‬ .‫) شرك أكبر‬1 .‫) شرك أصغر‬2

Shirki

Ikiwa imebainika hili la Tawheed, basi fahamu ya kwamba kinyume cha Tawheed ni Shirki. Nayo ni kumshirikisha asiyekuwa Allah SW katika mambo yale ambayo ni Khasa ya Allah SW. Amesema Allah SW Akisimulia watakayosema washirikina Motoni wakiwaeleza miungu yao: {{“Wallahi, kwa yakini tulikuwa katika upotofu ulio dhahiri. Tulipokuwa tukikufanyeni sawa na (Mwenyezi Mungu) Mola wa walimwengu wote}} [Suurah Ash–Shu’araa 97–98] Na Shirki ni Aina mbili:   Shirki Kubwa   Shirki Ndogo

:‫ الشرك األكبر‬:‫النوع األول‬ َ‫ {إِ َّن اللّ َه ال‬:‫ قال تعالى‬،‫ وصاحبه إن لقي الله به فهو خال ٌد مخل ٌد في النار‬،‫ وال يغفر الله لصاحبه إال بالتوبة‬،‫وهو المخرج من الملة‬ ‫ {إِنَّ ُه َمن يُشْ ر ِْك بِاللّ ِه فَ َق ْد َح َّر َم اللّ ُه َعلَي ِه الْ َج َّن َة َو َمأْ َوا ُه‬:‫ وقال تعالى‬،]48 :‫يَ ْغ ِف ُر أَن يُشْ َر َك ِب ِه َويَ ْغ ِف ُر َما ُدو َن َذلِ َك لِ َمن يَشَ اء} [النساء‬ .]72:‫ال َّنا ُر} [المائدة‬

Aina ya Kwanza, Shirki Kubwa

Nayo ndiyo inayomtoa mtu katika Uislamu, na wala Allah SW Hamsamehi mwenye shirki kubwa mpaka atubie (kabla mauti kumfika). Mwenye shirki kubwa akija mbele ya Allah SW ilhali yakuwa hakutubia basi hukumu yake ni kukaa Motoni milele. Amesema Allah SW: {{Hakika Mwenyezi Mungu Hasamehi kushirikishwa; na Husamehe yasiyokuwa haya kwa Amtakaye}} [Suurah An–Nisaa 48] Na Akasema Allah SW: {{Kwani anayemshirikisha Mwenyezi Mungu, hakika Mwenyezi Mungu Atamharamishia Pepo, na mahali pake (patakuwa) ni Motoni}} [Suurah Al–Maidah 72]

:‫والشرك األكبر أنواعه كثيرة ومدارها على أربعة أنواع‬ SHIRKI KUBWA ina Sampuli nyingi lakini sana huzungukia katika Sampuli Nne

  10  |  Aqiida Ya Kundi Lenye Ushindi 

.]117 :‫ { َو َمن يَ ْد ُع َم َع اللَّ ِه إِلَ ًها آ َخ َر َل بُ ْر َها َن لَ ُه ِب ِه فَ ِإنَّ َما ِح َسابُ ُه ِعن َد َربِّ ِه إِنَّ ُه َل يُ ْفلِ ُح الْكَا ِف ُرونَ} [المؤمنون‬:‫ قال تعالى‬:‫ شرك الدعاء‬:‫األول‬ Sampuli ya Kwanza, Shirki ya Dua: (Ni kumuomba kiumbe aina yoyote, jambo ambalo hana uwezo nalo, isipokuwa Allah SW) Amesema Allah SW: {{Na anayemuomba – pamoja na Mwenyezi Mungu – mungu mwingine, yeye hana dalili ya (jambo) hili; basi bila shaka hisabu yake iko kwa Mola Wake. Kwa hakika makafiri hawafanikiwi.}} [Suurah Al–Mu’minun 117]

‫ {ات َّ َخذُوا ْ أَ ْحبَا َر ُه ْم‬:‫ قال تعالى‬،‫ وهي طاعة األحبار والرهبان والعلماء واألمراء في معصية الله سبحانه وتعالى‬:‫ شرك الطاعة‬:‫الثاني‬ ِ ‫يح ابْ َن َم ْريَ َم َو َما أُ ِم ُروا ْ إِالَّ لِيَ ْعبُ ُدوا ْ إِلَ ًها َو‬ ‫] وقد‬31:‫اح ًدا الَّ إِلَ َه إِالَّ ُه َو ُسبْ َحانَ ُه َع َّما يُشْ ِركُونَ} [التوبة‬ َ ‫َو ُر ْهبَانَ ُه ْم أَ ْربَابًا ِّمن ُدونِ اللّ ِه َوالْ َم ِس‬ ‫ {يَ ْو َم تُ َقل َُّب ُو ُجو ُه ُه ْم ِفي ال َّنا ِر يَقُولُو َن يَا لَ ْيتَ َنا أَطَ ْع َنا اللَّ َه‬:‫ وقال تعالى‬،‫حاتم رضي الله عنه عند هذه اآلية‬ ٍ ‫عدي بن‬ ِّ ‫تقدم ذكر حديث‬ َ َ َ }‫ { َولَ يُشْ ر ُِك ِفي ُح ْك ِم ِه أ َح ًدا‬:‫ وقال تعالى‬،]67 ،66 :‫السب َِيل} [األحزاب‬ َّ ‫َوأَطَ ْع َنا ال َّر ُس َول * َوقَالُوا َربَّ َنا إِنَّا أطَ ْع َنا َسا َدتَ َنا َوكُ َب َراءنَا فَأضَ لُّونَا‬ .]26 :‫[الكهف‬ Sampuli ya Pili, Shirki ya Kutii: Nayo ni kutii wanazuoni, marahibu, ulamaa, viongozi katika kumuasi Allah SW. Amesema Allah SW: {{Wamewafanya wanavyuoni wao na watawa wao kuwa ni miungu badala ya Mwenyezi Mungu, na (wamemfanya) Masihi mwana wa Maryamu (pia Mungu), hali hawakuamrishwa isipokuwa kumuabudu Mungu Mmoja, hakuna anayestahiki kuabudiwa ila Yeye. Ametakasika na yale wanayomshirikisha nayo}} [Suurah At–Tawbah 31] na tayari imetangulia hadithi ya ‘Adiy bin Hatim RA katika kufasiri aya hii. Amesema Allah SW: {{Siku ambayo nyuso zao zitapinduliwa pinduliwa (zitakapounguzwa) Motoni, waseme: “Laiti tungemtii Mwenyezi Mungu na tungemtii Mtume.” Na watasema: “Mola Wetu! hakika tumewafuata mabwana wetu na wakubwa wetu, basi wao wametupoteza njia”}} [Suurah Al–Ahzab 66–67] Na Amesema Allah SW: {{Wala Yeye Hamshirikishi yoyote katika Hukumu Zake}} [Suurah Al–Kahf 26]

ِ ‫ { َو ِم َن ال َّن‬:‫ قال تعالى‬:‫ شرك المحبة‬:‫الثالث‬ ‫اس َمن يَتَّ ِخ ُذ ِمن ُدونِ اللّ ِه أَن َدادا ً يُ ِح ُّبونَ ُه ْم كَ ُح ِّب اللّ ِه َوال َِّذي َن آ َم ُنوا ْ أَشَ ُّد ُح ًّبا �لِّلّ ِه َولَ ْو يَ َرى‬ َ .]165:‫َاب} [البقرة‬ ِ ‫َاب أَ َّن الْ ُق َّو َة لِلّ ِه َج ِميعاً َوأ َّن اللّ َه شَ ِدي ُد الْ َعذ‬ َ ‫ال َِّذي َن ظَلَ ُموا ْ إِ ْذ يَ َر ْو َن الْ َعذ‬ Sampuli ya Tatu, Shirki ya Mahaba (Kupenda): Amesema Allah SW: {{Na katika watu kuna wanaofanya waungu wasiyekuwa Mwenyezi Mungu. Wanawapenda kama kumpenda Mwenyezi Mungu. Lakini walioamini wanampenda Mwenyezi Mungu zaidi sana. Na laiti waliodhulumu (nafsi zao) wanaijua (balaa itakayowapata) watakapoiona adhabu (siku hiyo ya Kiama), kwa kuwa Nguvu Zote ni za Mwenyezi Mungu (siku hiyo – hakuna masanamu wa kuwashufaia wala mengineo) na kuwa Mwenyezi Mungu ni Mkali wa Kuadhibu}} [Suurah Al–Baqarah 165]

:‫أنواع المحبة‬ َّ :‫ضل بعدم التمييز بينها‬ َّ ‫ضل من‬ ّ ‫ وإنما‬،‫ يجب التفريق بينها‬،‫ (وها هنا أربعة أنواع من المحبة‬:‫قال ابن القيم رحمه الله‬ ‫ فإن المشركين و ُع َّباد الصليب واليهود وغيرهم‬،‫ وال تكفي وحدها في النجاة من عذاب الله والفوز بثوابه‬،‫ محبة الله‬:‫أحدها‬1.1 .‫يُحبُّون الله‬ ،‫وأحب الناس إلى الله أقومهم بهذه المحبة‬ ،‫ وتخرجه من الكفر‬،‫ وهذه هي التي تدخله في اإلسالم‬،‫ محبة ما يُحب الله‬:‫الثاني‬2.2 ُّ .‫وأشدهم فيها‬ .‫حب إال فيه وله‬ ُّ ُ‫ وال تستقيم محبة ما ي‬،‫حب‬ ُّ ُ‫ وهي من لوازم محبة ما ي‬،‫ الحب لله وفيه‬:‫الثالث‬3.3

  Abdul-Majid bin Muhammad Al-Munii‘  |  11 

‫ وال فيه؛ فقد ات َّخذه ن َّدا ً من‬،‫ وال من أجله‬،‫ ال لله‬،‫ وكل من أحب شيئاً مع الله‬،‫ وهي المحبة الشركية‬،‫ المحبة مع الله‬:‫الرابعة‬4.4 .)‫ وهذه محبة المشركين‬،‫دون الله‬ Sampuli za Mahaba: Amesema Imam Ibnul Qayyim Rahimahullah; na hapa tuna sampuli nne za mahaba (mapenzi), ina lazima kuzipambanua baina yao, na hakika amepotea aliyepotea (kwa sababu ya) kutofanya mapambanuzi baina ya hizo sampuli za mahaba. 1. Mahaba ya Allah SW, na haya mapenzi hayatoshi kipekee katika kuokoka na Adhabu ya Allah SW na kufuzu kwa Thawabu Zake, kwani hakika washirikina na wanaoabudu msalaba, na mayahudi na wengineo pia hudai kumpenda Allah SW. 2. Mahaba ya Anayoyapenda Allah SW, na haya mapenzi ndiyo yanayomuingiza mtu ndani ya Uislamu na kumtoa katika ukafiri, na Wanaopendwa Zaidi na Allah SW katika watu ni waliosimamisha haya mapenzi zaidi, na wakawa wakali sana katika mapenzi haya. 3. Mahaba kwa ajili ya Allah SW: Nayo haya mapenzi ni yenye kupatikana kwa ulazima baada ya Mapenzi ya Anayoyapenda Allah SW. Pia vilevile, Mapenzi ya Anayoyapenda Allah SW hayawezi kutimia ila kwa kupatikana pia Mapenzi kwa Ajili ya Allah SW. 4. Mahaba pamoja na Allah SW: Haya ndiyo mapenzi ya shirki, na kila anayependa chochote pamoja na Allah, Sio kwa Ajili ya Allah SW au kwa Amri ya Allah SW basi atakuwa amekifanya hicho kitu kuwa mungu kando na Allah SW, na haya ndiyo mahaba ya washirikina.

‫ { َمن كَا َن يُرِي ُد الْ َحيَا َة ال ُّدنْيَا َوزِي َنتَ َها‬:‫ قال تعالى‬،‫ وهو أن يقصد بعمله غير الله سبحانه وتعالى‬:‫ شرك النية واإلرادة والقصد‬:‫الرابع‬ ِ ‫نُ َو ِّف إِلَيْ ِه ْم أَ ْع َمالَ ُه ْم ِفي َها َو ُه ْم ِفي َها الَ يُبْ َخ ُسو َن * أُ ْولَ ِئ َك ال َِّذي َن لَيْ َس لَ ُه ْم ِفي‬ ْ ‫اآلخ َر ِة إِالَّ ال َّنا ُر َو َح ِب َط َما َص َن ُعوا ْ ِفي َها َوبَ ِاط ٌل َّما كَانُوا‬ ‫اب بِالْ َح ِّق فَا ْع ُب ِد اللَّ َه ُم ْخلِ ًصا لَّ ُه ال ِّدي َن * أَ َل لِلَّ ِه ال ِّدي ُن الْ َخالِ ُص َوال َِّذي َن‬ َ َ‫ {إِنَّا أَن َزلْ َنا إِلَ ْي َك الْ ِكت‬:‫ وقال تعالى‬،]16-15 :‫يَ ْع َملُونَ} [هود‬ ‫اتَّ َخذُوا ِمن ُدونِ ِه أَ ْولِ َياء َما نَ ْع ُب ُد ُه ْم إِ َّل لِ ُي َق ِّربُونَا إِلَى اللَّ ِه ُزلْفَى إِ َّن اللَّ َه يَ ْح ُك ُم بَ ْي َن ُه ْم ِفي َما ُه ْم ِفي ِه يَ ْختَلِفُو َن إِ َّن اللَّ َه لَ يَ ْه ِدي َم ْن ُه َو‬ .]3 ،2 :‫كَا ِذ ٌب كَفَّا ٌر} [الزمر‬ ‫ َم ْن َع ِم َل‬،‫ أَنَا أَ ْغ َنى الشُّ َركَا ِء َعن الشِّ ْر ِك‬:‫ (قال الل ُه تعالى‬:‫ قال رسول الله صلى الله عليه وسلم‬:‫وعن أبي هرير َة رضي الله عنه قال‬ .‫َع َمالً أَشْ َر َك َم ِعي ِفي ِه َغ ْيرِي ت َركْتُه َو ِش ْركَه) روا ُه مسل ٌم‬ Sampuli ya Nne, Shirki ya Nia, Kutaka na Kukusudia: Nayo ni mtu kukusudia kwa amali yake asiyekuwa Allah SW. Amesema Allah SW: {{Wanaotaka maisha ya dunia na mapambo yake, tutawapa humu duniani (ujira wa) vitendo vyao kamili; humu wao hawatopunjwa (lakini Akhera hawatapata kitu) Hao ndio ambao hawatakuwa na kitu katika Akhera ila Moto, na yataruka patupu waliyoyafanya katika (dunia) hii, na yatakuwa bure waliyoyatenda}} [Suurah Hud 15–16]. Na Akasema Allah SW: {{Kwa yakini Sisi Tumekuteremshia Kitabu hiki kwa Haki, basi muabudu Mwenyezi Mungu kwa kumfanya Mola Yeye tu. Wa kuitakidiwa Mola ni Mwenyezi Mungu tu; lakini wale wanaowafanya wengine kuwa waungu badala Yake (husema): “Sisi hatuwaabudu hawa ila wapate kutufikisha karibu kabisa na Mwenyezi Mungu” Hakika Mwenyezi Mungu Atahukumu baina yao katika yale wanayohitalifiana. Bila shaka Mwenyezi Mungu Hamwongoi aliye muongo, aliye kafiri}} [Suurah Az–Zumar 2–3] Imepokewa kutoka kwa Abu Hurayrah RA amesema: (Mtume SAW) alisema kuwa [Allah SW Amesema Mimi ni Mkwasi Zaidi kutokana na washirikina na shirki zao, yeyote atakayetenda amali akanishirikisha Mimi pamoja na mwingine katika amali hiyo Mimi Humuacha yeye na shirki yake] imepokewa na Muslim.

  12  |  Aqiida Ya Kundi Lenye Ushindi 

:‫ الشرك األصغر‬:‫النوع الثاني من أنواع الشرك‬ ‫ وصاحبه إن لقي الله به فهو تحت مشيئة الله إن شاء غفر له وإن شاء عذَّبه؛ ولكن ال يخلد صاحبه في‬،‫وهو غير مخرج من الملة‬ ‫ {إِ َّن اللّ َه الَ يَ ْغ ِف ُر أَن يُشْ َر َك ِب ِه َويَ ْغ ِف ُر َما ُدو َن‬:‫ أنه البد أن يطهر بالنار لعموم دخوله تحت مسمى الشرك في قوله تعالى‬:‫ وقيل‬،‫النار‬ .]48 :‫َذلِ َك لِ َمن يَشَ اء} [النساء‬

Aina ya Pili, Shirki Ndogo

Katika sampuli za shirki ni shirki ndogo, nayo ni ile isiyomtoa muislamu katika Uislamu, na mwenye shirki ndogo akikutana na Allah SW akiwa katika hali hiyo yake basi atakuwa chini ya Amri ya Allah SW, Akitaka Atamsamehe na Akitaka Atamuadhibu, lakini hatokuwa mwenye kukaa Motoni milele (ikiwa Ataadhibiwa). Pia imesemekana (na baadhi ya ulamaa) kuwa lazima awe mwenye kutwahirishwa kwa Moto kwa ajili ya kuingia kwake chini ya maana ya shirki katika Kauli ya Allah SW: {{Hakika Mwenyezi Mungu Hasamehi kushirikishwa; na Husamehe yasiyokuwa haya kwa Amtakaye}} [Suurah An–Nisaa 48]

:‫ومن أنواع الشرك األصغر‬ ‫ (الرياء) رواه أحمد وغيره بإسنا ٍد‬:‫فسئل عنه؟ فقال‬ ُ )‫ (أخوف ما أخاف عليكم الشرك األصغر‬:‫ قال صلى الله عليه وسلم‬:‫يسير الرياء‬ ‫ (قل‬:‫ كيف ننجو منه يا رسول الله؟ قال‬:‫ (الشرك في هذه األمة أخفى من دبيب النملة) قالوا‬:‫ وقال صلى الله عليه وسلم‬.‫حسن‬ .‫ وأستغفرك لما ال أعلم) رواه ابن حبان في صحيحه‬،‫اللهم إني أعوذ بك أن أُشرك بك وأنا أعلم‬ Katika Sampuli za Shirki Ndogo: 1.  Riyaa Ndogo: Amesema Mtume SAW [Ninachowaogopea zaidi juu yenu ni shirki ndogo. Akaulizwa kuhusu shirki ndogo. Akajibu: ni Riyaa] amepokea Hadith Imam Ahmad, na wengineo kwa sanad iliyo nzuri. Na Akasema Mtume SAW: [Shirki katika Ummah huu umejificha sana kuliko mwendo wa chungu. Wakauliza (maswahaba), Vipi tutasalimika nayo (shirki) Ewe Mtume wa Allah SW? Akajibu, Sema: Ewe Allah SW Hakika mimi najikinga kwako kutokana na kukushirikisha ilhali mimi najua, na nakuomba msamaha kwa lile nisilolijua] Hadith imepokewa na Ibn Hibaan katika Sahih yake.

‫ وأما إن قصد تعظيمه ومساواته بالله فهو‬،‫ الحلف بغير الله إن لم يقصد تعظيم المحلوف به كتعظيم المعبود‬:ً‫ومن أنواعه أيضا‬ ‫ (من حلف بغير الله فقد كفر أو أشرك) رواه أحمد وأبو‬:‫ قال صلى الله عليه وسلم‬:‫وعن ابن عمر رضي الله عنهما قال‬.‫شرك أكبر‬ .‫داود والترمذي والحاكم وصححه‬ 2.  Kiapo: Katika sampuli za shirki ndogo vilevile ni kuapa kwa asiyekuwa Allah SW lakini ikiwa hajakusudia utukufu wa aliyeapa kwa jina lake kama kukiheshimu anachokiabudu. Lakini ikiwa atakusudia utukufu na usawa wake ni kama wa Allah SW basi itakuwa Shirki Kubwa. Na imesimuliwa kutoka kwa Ibnu Umar RA akisema, Mtume SAW Amesema: [Yeyote atakayeapa kwa asiyekuwa Allah SW basi atakuwa amekufuru au amefanya shirki] imepokewa na Imam Ahmad, na Abu Daud, na Tirmidhi, na Al–Haakim na akaisahihisha.

‫ فإن‬،‫ ولوال الله وأنت لم يكن كذا وكذا‬،‫ وأنا بالله وبك‬،‫ وهذا من الله ومنك‬،‫ ما شاء الله وشئت‬:‫ قول الشخص آلخر‬:ً‫ومن أنواعه أيضا‬ ٌ ‫وجل في التدبير والمشيئة فهو‬ ‫ وإن لم يعتقد ذلك واعتقد أ َّن الله سبحانه وتعالى هو القادر‬،‫شرك أكبر‬ َّ ‫اعتقد أنَّه يُشارك الله ع َّز‬ ٌ ‫كل شي ٍء فهو‬ .‫شرك أصغر‬ ِّ ‫على‬ َ ،‫ َما شَ ا َء الل ُه َو ِشئْ َت‬:‫رجل‬ )‫ (أَ َج َعلْتَ ِني لل ِه نِ ًّدا؟ بَ ْل َما شَ ا َء الل ُه َو ْح َد ُه‬:‫قال‬ ٌ ‫ودليله ما ثبت أ َّن النبي صلى الله عليه وسلم ل َّما قال له‬ .َ‫والبخاري في (األَ َد ِب ال ُم ْف َر ِد) وال َّن َسائِ ُّي واب ُن َما َجة‬ ،َ‫روا ُه أ ْح َم ُد واب ُن أَبي شَ ْي َبة‬ ُّ   Abdul-Majid bin Muhammad Al-Munii‘  |  13 

َ ‫َو َع ْن ُح َذيْ َف َة رضي الله عنه أَ َّن َر ُس‬ ‫ َما شَ ا َء الل ُه ث ُ َّم‬:‫ َولَ ِك ْن قُولُوا‬،ٌ‫ َما شَ ا َء الل ُه َوشَ ا َء فُالَن‬:‫ (الَ تَقُولُوا‬:‫ول الل ِه صلى الله عليه وسلم ق ََال‬ .‫شَ ا َء فُالَنٌ) َر َوا ُه أَبُو َدا ُو َد ب َِس َن ٍد َص ِحي ٍح‬ .‫ ما شاء الله وحده أكمل في اإلخالص وأبعد عن الشرك‬:‫والشك أن قول‬ 3.  Kumnasibisha Allah SW na mwengine yeyote: Katika sampuli za shirki ndogo ni maneno ya mtu kumwambia mwenzake; Ametaka Allah SW na wewe, au hili ni kutoka kwa Allah SW na wewe, na mimi ni kwa ajili ya Allah SW na wewe, au kama si Allah SW na wewe basi halingekuwa kadha na kadha. Lakini ikiwa ataamini kuwa yeye anaushirika na Allah SW katika Kupangilia na Kutoa Amri basi itakuwa ni Shirki Kubwa, na ikiwa hatoamini hivyo na akaamini kuwa Allah SW Ndiye Mwenye Uwezo juu ya kila jambo basi itakuwa shirki ndogo. Dalili kuhusu hiyo (shirki ndogo) ni kilichothubutu kutoka kwa Mtume SAW pindi bwana mmoja alipomwambia, Ametaka Allah SW na wewe, akasema Mtume SAW: [Je umenifanya mimi mungu pamoja na Allah SW? Lakini sema Ametaka Allah SW Pekee] Hadith ameipokea Imam Ahmad na Ibnu Abi Shaibah, na Bukhari katika Adabul Mufrad na AnNasaai na Ibn Maajah. Na imepokewa kutokana na Hadith ya Hudheifa RA kuwa Mtume SAW Amesema: [Musiseme, Ametaka Allah SW na ametaka fulani, lakini semeni; Ametaka Allah SW kisha akataka Fulani] Hadith imepokewa na Abu Daud kwa sanad nzuri. Na hamna shaka kuwa kauli; Ametaka Allah SW Pekee, ndiyo bora na iliyokamilika katika Ikhlaas na iliyo mbali zaidi na shirki.

ٌ ‫ومن أنواعه لُ ْبس الحلقة والخيط إذا لم يعتقد الب ُِسها أنها مؤثر ٌة بنفسها دون الله أو مع الله فإن اعتقد ذلك فهو ُم‬ ،‫شرك شركاً أكبر‬ .‫ألنه اعتقد أن هذه تنفع وتض ُّر دون الله‬ ٌ ‫ فهو‬،‫سبب وليست مؤثر ًة بنفسها‬ .ً‫بسبب ال قدرا ً وال شرعاً َس َب َبا‬ ‫مشرك شركاً أصغر ألنه اعتقد ما ليس‬ ٍ ٌ ‫وأما إن اعتقد أنها‬ ،)‫ ( َما َه ِذ ِه؟‬:‫ فَق ََال‬،ٍ‫ أَ َّن ال َّنب َِّي صلى الله عليه وسلم َرأَى َر ُجالً ِفي يَ ِد ِه َحلْ َق ٌة ِم ْن ُص ْفر‬:‫ودليله ما رواه ِع ْم َرا َن بْنِ ُح َصيْنٍ رضي الله عنه‬ ‫ وعن‬،‫ فَ ِإن ََّك لَ ْو ُم َّت َو ِه َي َعلَ ْي َك َما أَفْلَ ْح َت أَبَ ًدا) َر َوا ُه أَ ْح َم ُد ب َِس َن ٍد الَ بَأْ َس ِب ِه‬،‫ (انْ ِز ْع َها فَ ِإنَّ َها الَ تَزِي ُد َك إِالَّ َو ْه ًنا‬:‫ فَق ََال‬،‫ ِم َن الْ َوا ِه َن ِة‬:‫ق ََال‬ ‫ (إن الرقى والتمائم والتولة شرك) رواه أحمد وأبو‬:‫ سمعت رسول الله صلى الله عليه وسلم يقول‬:‫ابن مسعو ٍد رضي الله عنه قال‬ .‫داود‬ 4.  Sababu Baatil isiyo na msingi katika Dini: Na miongoni mwa sampuli zake vile vile ni kuvaa bangili na uzi ikiwa hatoamini mwenye kuvivaa kuwa ni vyenye kuathiri kwa dhati kando na Allah SW au pamoja na Allah SW, na ikiwa ataamini hivyo (yaani vinaathiri kwa dhati) basi atakuwa ni mshirikina wa Shirki Kubwa kwa sababu ameamini kuwa vitu hivi vinaleta manufaa na madhara kando na Allah SW. Na ikiwa ataamini kuwa ni sababu tu, na wala siyo zenye kuathiri kwa dhati, basi atakuwa ameingia katika shirki ndogo, kwa maana ameamini (kuwa ni sababu) lile ambalo siyo sababu (la kunufaisha au la kudhuru) ima katika Qadar au katika Shari’ah. [mfano wa Qadar ni Yaliyokadiriwa na Allah SW kuwa sababu kama vile kutumia asali kama tiba. Ama mfano wa Shari’ah ni yale Yaliyoruhusiwa kutokana na Mafunzo ya Mtume SAW kuwa ni sababu thabiti kama vile kusoma Adhkaar za asubuhi na jioni ili kupata Kinga na Hifadhi]

  14  |  Aqiida Ya Kundi Lenye Ushindi 

Na dalili ya (hii shirki ndogo) ni yaliyopokewa na Imraan Ibn Huswayn RA: [kuwa Mtume SAW alimuona mtu katika mkono wake ana bangili ya chuma (aina ya Brass), akauliza: Hii ni nini? Akajibu: ni katika (njia ya) kuondosha udhaifu. Akajibu Mtume SAW: Ivuwe kwani haitokuzidishia ila udhaifu, kwani hakika ukiwa mwenye kufa nayo ikiwa mkononi mwako basi hutofaulu milele] imepokewa na Imam Ahmad kwa sanad iliyokubalika. Na kutokana na Ibn Mas’oud RA Amesema: Nimemsikia Mtume SAW akisema; [Hakika ya ruqya (haramu) na tamaim na tiwala ni shirki] Hadith imepokewa na Imam Ahmad na Abu Daud. [Ruqya haramu ni ile ambayo hutumika maneno yasiyoeleweka na ambayo hayakuthubutu katika Shari’ah. Tamaim ni vyovyote vinavyotundikwa ima kwenye shingo, mkononi, nyumbani ili iwe kinga ya uhasidi, au jicho na kadhalika. Tiwala ni kutumia uchawi ili kufanya mtu awe mwenye kumpenda mwingine bila kujijua.]

:‫بيان أركان اإلسالم واإليمان واإلحسان‬ ‫ بينما نحن جلوس عند رسول الله صلى الله عليه وسلم ذات يوم‬:‫أخرج مسلم في صحيحه عن عمر بن الخطاب رضي الله عنه قال‬ ‫ وال يعرفه منا أحد حتى جلس إلى النبي صلى‬،‫ ال يرى عليه أثر السفر‬،‫إذ طلع علينا رجل شديد بياض الثياب شديد سواد الشعر‬ ‫ فقال رسول الله صلى الله‬،‫ يا محمد أخبرني عن اإلسالم‬:‫ وقال‬،‫الله عليه وسلم فأسند ركبتيه إلى ركبتيه ووضع كفيه على فخذيه‬ ‫ وتحج البيت إن‬،‫ وتصوم رمضان‬،‫ وتؤتي الزكاة‬،‫ وتقيم الصالة‬،‫ (اإلسالم أن تشهد أن ال إله إال الله وأن محمدا ً رسول الله‬:‫عليه وسلم‬ ،‫ ورسله‬،‫ وكتبه‬،‫ ومالئكته‬،‫ (أن تؤمن بالله‬:‫ أخبرني عن اإليمان قال‬:‫ قال‬،‫ صدقت فعجبنا له يسأله ويصدقه‬:‫استطعت إليه سبيال) قال‬ ‫ فإن لم تكن تراه‬،‫ (أن تعبد الله كأنك تراه‬:‫ قال‬،‫ فأخبرني عن اإلحسان‬:‫ قال‬،‫ صدقت‬:‫ وتؤمن بالقدر خيره وشره) قال‬،‫واليوم اآلخر‬ ‫ وأن‬،‫ (أن تَلِ َد األم ُة َربَّتَها‬:‫ قال‬،‫ فأخبرني عن أماراتها‬:‫ (ما المسئول بأعلم من السائل) قال‬:‫ قال‬،‫ فأخبرني عن الساعة‬:‫فإنه يراك) قال‬ ‫ الله‬:‫ قلت‬،)‫ أتدري من السائل؟‬،‫ (يا عمر‬:‫ ثم قال‬،ً‫فلبثت مليَّا‬ ‫ ثم انطلق‬،)‫ترى الحفاة العراة العالة رعاء الشاء يتطاولون في البنيان‬ ُ .)‫ (فإنه جبريل أتاكم يعلمكم دينكم‬:‫ قال‬،‫ورسوله أعلم‬

Nguzo za Uislamu, Imaan na Ihsaan

Amepokea Imam Muslim katika kitabu chake (Sahih Muslim) kutokana na Umar bin Al–Khattab RA amesema: [Pindi tulipokuwa sisi tumekaa pamoja na Mtume SAW siku moja alitujia bwana mmoja akiwa na nguo nyeupe sana na nywele nyeusi sana, na wala hakuonekana na athari yoyote ya safari, na wala hamna aliyekuwa anamfahamu, akakaa na Mtume SAW kwa kuegemeza magoti yake kwa magoti ya Mtume SAW kisha akaweka mikono yake juu ya mapaja yake. Na akauliza: Ewe Muhammad nieleze kuhusu Uislamu? Akajibu Mtume SAW: Uislamu ni Kushahadia kuwa hamna apasaye kuabudiwa kwa haki ila Allah SW Pekee na Kushahadia kuwa Muhammad ni Mtume Wake, kisha Kusimamisha Swala, na Kutoa Zakaa, na Kufunga Ramadhan, na Kuhiji Nyumba Tukufu ikiwa una uwezo wa kufika. Akasema (yule bwana): Umesema kweli. Tukawa wenye kushangazwa, vipi awe mwenye kuuliza na mwenye kusadikisha. (Akauliza tena) Basi Nieleze kuhusu Imaan? Mtume SAW Akajibu: Ni Kumuamini Allah SW, na Malaika Wake, na Vitabu Vyake, na Mitume Wake, na Siku ya Mwisho, na Kuamini Qadar, Kheri yake na Shari yake. Akajibu (yule bwana): Umesema kweli. Kisha Akauliza: Basi nieleze kuhusu Ihsaan? Mtume SAW akajibu: Ni Kumuabudu Allah SW kana kwamba wamuona, na ikiwa humuoni basi Yeye Yuwakuona. Kisha akauliza: Basi nieleze kuhusu Qiyama (yaani wakati wake)? Mtume SAW Akajibu: Anayeulizwa hana ujuzi zaidi ya mwenye kuuliza. Akasema (yule bwana): Basi nieleze alama zake? Akajibu Mtume SAW: Ni kijakazi kumzaa walii wake, na kuwaona wasiyokuwa na viatu na nguo, tena maskini wachunga mbuzi wakishindana kujenga majumba marefu marefu. Kisha (yule bwana) akaondoka, nikakaa muda mfupi, kisha Mtume SAW akaniuliza: Ewe ‘Umar je wamjua muulizaji? Nikajibu: Allah SW na Mtume SAW Ndiyo Wajuzi zaidi. Akasema Mtume SAW: Kwani hakika yeye ni Jibreel AS amewajia kuwafunza Dini yenu.]

  Abdul-Majid bin Muhammad Al-Munii‘  |  15 

:‫اإليمان ونواقضه‬ ٌ .‫ يزيد بالطاعة وينقص بالعصيان‬،‫وعمل باألركان‬ ٌ ،‫ وقول باللسان‬،‫اإليمان عند أهل السنة اعتقا ٌد بالجنان‬ ‫ وأدناها‬،‫ (اإليمان بضع وسبعون أو بضع وستون شعبة فأفضلها قول ال إله إال الله‬:‫ودليل ذلك قول الرسول صلى الله عليه وسلم‬ .‫ والحيا ُء شُ عب ٌة من اإليمان) رواه مسلم‬،‫إماطة األذى عن الطريق‬

Imaan na Yanayovunja Hiyo Imaan (au Yanayobatilisha)

Imaan: kwa ufahamu wa Ahlu Sunnah wal Jama’ah, Imaan ni itikadi kwa Moyo, kauli ya Ulimi na vitendo vya Viungo, inazidi kwa kumtii Allah SW na kupunguka kwa kumuasi Allah SW. Na dalili ya hilo ni kauli ya Mtume SAW: [Imaan (imegawanyika) sehemu sabini na zaidi au sitini na zaidi, na bora yake ni Kauli ya “LAA ILAAHA ILLA ALLAH”, na ya chini kabisa ni kuondosha udhia njiani, na kuwa na hayaa ni sehemu katika Imaan] imepokewa na Muslim

َّ ‫قول‬ ٌ ‫ وهو‬،‫ ال إله إال الله من اإليمان‬:‫فجعل قول‬ .‫فدل على دخول األقوال في ُمس َّمى اإليمان‬ Mtume SAW akafanya Kauli ya “LAA ILAAHA ILLA ALLAH” katika Imaan, nayo ni kauli, kuonesha kuwa maneno yanaingia katika maana ya Imaan.

َّ ،‫كما أنه صلى الله عليه وسلم جعل إماطة األذى عن الطريق من اإليمان وهو عمل‬ .‫فدل على دخول األعمال أيضاً في ُمس َّمى اإليمان‬ Vilevile Mtume SAW amejaaliya kuondosha udhia barabarani ni katika Imaan nacho ni kitendo, ikaonesha kuingia kwa vitendo vilevile katika kuitwa Imaan.

‫ فإن لم يستطع فبقلبه وذلك أضعف‬،‫ فإن لم يستطع فبلسانه‬،‫ (من رأى منكم منكرا ً فليغيره بيده‬:‫وأيضاً قوله صلى الله عليه وسلم‬ .‫اإليمان) رواه مسلم‬ Pia vilevile kauli ya Mtume SAW aliposema: [Yeyote atakayeona Munkar (Maovu) basi ayabadilishe kwa mkono wake, ikiwa hatoweza basi kwa ulimi wake, ikiwa hatoweza basi kwa moyo wake na hilo (la moyo) ndilo Imaan dhaifu zaidi] mpokezi wa hii hadith ni Imam Muslim.

‫ وقوله‬،]4 :‫ُوب الْ ُم ْؤ ِم ِني َن لِيَ ْز َدا ُدوا إِي َمانًا َّم َع إِي َمانِ ِه ْم} [الفتح‬ ُ ِ ‫الس ِكي َن َة ِفي قُل‬ َّ ‫ { ُه َو ال َِّذي أَن َز َل‬:‫ودليل زيادة اإليمان ونُقصانه قوله تعالى‬ ُ ‫ { َوإِذَا َما أُن ِزل َْت ُسو َر ٌة فَ ِم ْن ُهم َّمن يَق‬:‫تعالى‬ ]124 :‫ُول أَيُّ ُك ْم زَا َدتْ ُه َه ِذ ِه إِي َمانًا فَأَ َّما ال َِّذي َن آ َم ُنوا ْ فَ َزا َدت ْ ُه ْم إِي َمانًا َو ُه ْم يَ ْستَ ْب ِش ُرونَ} [التوبة‬ ‫ (ما رأيت من‬:‫وإذا ثبتت الزيادة ثبت النقص ومن األدلة على نقصانه أيضاً قوله صلى الله عليه وسلم كما في صحيح اإلمام مسلم‬ .)‫ناقصات عقل ودين أغلب لذي لب منكن‬ Ama dalili ya kuzidi kwa Imaan na kupunguka ni Kauli ya Allah SW: {{Yeye (Allah SW) Ndiye Aliyeteremsha utulivu katika nyoyo za Waislamu ili waongezeke Imaan juu ya Imaan yao}} [Suurah Al–Fat’h 4] Na Kauli ya Allah SW: {{Na inapoteremshwa Suurah (mpya ya Qurani) wako miongoni mwao (watu wanafiki) wasemao: “Ni nani miongoni mwenu (Suurah) hii imemzidishia Imaan?” Ama wale walioamini inawazidishia Imaan, nao wanafurahi.}} [Suurah At–Tawbah 124]. Na pindi inapothubutu kuzidi basi vile vile imethubutu kupunguka, na miongoni mwa dalili za kupunguka kwa Imaan ni Kauli ya Mtume SAW kama ilivyopokewa katika Sahih Muslim: [Sijaona mfano wa waliopungukiwa na akili na Dini kwa wingi katika wanadamu zaidi yenu wanawake]

ٌ ‫وإن أهل السنة والجماعة‬ :‫وسط في هذا الباب بين طائفتين‬ Na Kwa Hakika Ahlu Sunnah Wal Jamaa’h Wako Katikati Baina Ya Haya Mapote Mawili Katika Huu Mlango (Wa Imaan):

  16  |  Aqiida Ya Kundi Lenye Ushindi 

،‫ فتُكفِّر من يزني ومن يسرق ومن يشرب الخمر ونحوها من المعاصي‬،‫ غلت في هذا الباب فأصبحت تُكفِّر بالذنوب‬:‫الطائفة األولى‬ - ‫ نسأل الله السالمة والعافية‬- ‫ وأنهم ش ُّر الخلق والخليقة‬،‫ وجاء أنهم كالب النار‬،‫وهؤالء هم الخوارج الذين مرقوا من الدين‬ POTE LA KWANZA: Lilivuka mpaka katika huu mlango likawa linakufurisha kwa ajili ya madhambi, Basi wakamkufurisha anayezini, na anayeiba, na anayekunywa tembo na kwa maasi mengine kama hayo, na hawa ndio Khawaarij, ambao wamechopoka katika Dini, Na imethubutu kuwa wao ni majibwa wa Motoni, na wao ni viumbe waovu sana, Tunamuomba Allah SW Atuhifadhi.

‫ فال‬،‫استحل بقلبه‬ َّ ‫ وهم المرجئة الذين يعتقدون أن األعمال غير داخل ٍة في مسمى اإليمان فال يكفر العبد إال إذا‬:‫الطائفة الثانية‬ ‫ فال يرون الكفر إال في الجحود والتكذيب‬،‫ويسب الله ورسوله صلى الله عليه وسلم‬ ،‫ ويدعوا غير الله‬،‫يُكفِّرون من يسجد للصنم‬ ُّ - ‫ نسأل الله السالمة والعافية‬- ‫القلبي وحده‬ POTE LA PILI: Na wao ni Murji’ah ambao wanaitakidi kwamba amali hazina mfungamano na Imaan. Basi kwa hivyo, hawezi kukufuru mtu isipokuwa awe atahalalisha jambo la haramu kwa Moyo wake, na hawamkufurishi anayesujudia sanamu, na akamuomba asiyekuwa Allah SW, na akamtukana Allah SW pamoja na Mtume Wake SAW, kwani wao hawaoni ukafiri ila katika kupinga na kukanusha kwa Moyo wake pekee, Tunamuomba Allah SW Atuhifadhi.

‫ وإذا‬،‫ إذا زال بعضه زال جميعه‬،ً ‫ وأصل نزاعهم أنهم جعلوا اإليمان شيئاً واحدا‬- ‫ والعياذ بالله‬- ‫وكال الطائفتين على بدع ٍة وضالل ٍة‬ .‫ فلم يقولوا بأنه يزيد وينقص فيذهب بعضه ويبقى بعضه‬،‫ثبت بعضه ثبت جميعه‬ Na mapote yote mawili yako katika Uzushi na Upotofu, tunamuomba Allah SW Atulinde na Atuhifadhi na huu Upotofu. Na Msingi wa mvutano huu wao ni kuwa wao wamefanya Imaan kuwa ni kitu kimoja: (Khawaarij wakaonelea kuwa) ikikosekana baadhi ya Imaan yote hukosekana. (Murji’ah wakaonelea kuwa) ikithubutu (ikipatikana) baadhi ya Imaan basi yote hupatikana yaani yote huthubutu. Kwahivyo wao hawasemi kuwa Imaan inazidi na kupungua, ikawa inaondoka baadhi yake na kubaki baadhi yake.

‫ وإنما يكفر إذا وقع في أحد نواقض اإليمان واإلسالم التي وردت‬،‫وأما أهل السنة فهم متفقون على أن العبد ال يكفر بالذنب‬ :ً‫النصوص الشرعية واألدلة المرعية بخروج مرتكبها من دائرة اإلسالم فمنها مثال‬ Ama Ahlu Sunnah, basi wao wameafikiana kuwa mtu hawezi kukufurishwa kwa dhambi, na hakika ni kuwa mtu hukufurishwa ikiwa ataingia katika moja ya yanayobatilisha na kuvunja Imaan yake na Uislamu wake, nayo ni mambo ambayo yamethubutu katika dalili za Shari’ah na kuwa zinamtoa yeyote mwenye kutenda hayo mambo katika duara la Uislamu, mfano:

‫ أو نحوها من العبادات فمن صرف شيئاً منها لغير الله فقد‬،‫ أو يذبح لغيره‬،‫الشرك كأن يدعو العبد غير الله سبحانه وتعالى‬1.1 ‫ وكذا من يدعو األشجار واألحجار والمالئكة‬،‫ فالذي يدعو علياً رضي الله عنه أو البدوي أو عبد القادر الجيالني أو غيرهم‬،‫كفر‬ ‫ وعن جابر بن عبد الله‬،]48 :‫ {إِ َّن اللّ َه الَ يَ ْغ ِف ُر أَن يُشْ َر َك ِب ِه َويَ ْغ ِف ُر َما ُدو َن َذلِ َك لِ َمن يَشَ اء} [النساء‬:‫واألنبياء فقد كفر قال تعالى‬ ً‫ ومن لقيه يشرك به شيئا‬،‫ (من لقي الله ال يشرك به شيئاً دخل الجنة‬:‫ قال رسول الله صلى الله عليه وسلم‬:‫رضي الله عنهما قال‬ .‫دخل النار) رواه مسلم‬ 1.  SHIRKI: Ni kama mtu kumuomba asiyekuwa Allah SW, au achinje kwa asiyekuwa Allah SW, au mifano mingine ya Ibada, basi yeyote atakayeelekeza ibada yoyote kwa asiyekuwa Allah SW, moja kwa moja atakuwa amekufuru.

  Abdul-Majid bin Muhammad Al-Munii‘  |  17 

Basi atakayemuomba Sayyidna Ali RA au Al–Badawi au Abdul–Qadir Al–Jaylani au wengineo, na vilevile mwenye kuabudu miti, na mawe, na malaika, na manabii watakuwa wamekufuru. Amesema Allah SW: {{Hakika Mwenyezi Mungu Hasamehi kushirikishwa; na Husamehe yasiyokuwa haya kwa Amtakaye}} [Suurah An–Nisaa 48] Na imepokewa kutoka kwa Jabir bin Abdillah RA amesema kuwa: Mtume SAW Amesema: [Yeyote ambaye atakutana na Allah SW (yaani siku ya Kiama) hakumshirikisha na chochote ataingia Peponi, na yeyote atakaye kutana na Allah SW amemshirikisha na chochote kile basi ataingia Motoni] Ameipokea Imam Muslim

.]102:‫ { َو َما يُ َعلِّ َمانِ ِم ْن أَ َح ٍد َحتَّى يَقُوالَ إِنَّ َما نَ ْح ُن ِفتْ َن ٌة فَالَ تَ ْك ُف ْر} [البقرة‬:‫ السحر قال تعالى‬:ً‫ومن النواقض أيضا‬2.2 2.  UCHAWI: Vilevile katika mambo ambayo yanayobatilisha Uislamu ni uchawi Amesema Allah SW: {{Wala (Malaika hao) hawakumfundisha yoyote mpaka wamwambie: “Hakika sisi ni mtihani (wa kutazamwa kutii kwenu); basi usikufuru”}} [Suurah Al–Baqarah 102]

‫ { َولَ ِئن َسأَلْتَ ُه ْم لَ َيقُولُ َّن‬:‫ أو بشي ٍء من شعائره قال تعالى‬،‫ أو بدين اإلسالم‬،‫ أو برسوله صلى الله عليه وسلم‬،‫ االستهزاء بالله‬:‫ومنها‬3.3 .]66-65 :‫وض َونَلْ َع ُب ق ُْل أَبِاللّ ِه َوآيَاتِ ِه َو َر ُسولِ ِه كُنتُ ْم ت َْستَ ْه ِز ُؤو َن * الَ ت َ ْعتَ ِذ ُروا ْ قَ ْد كَ َف ْرتُم بَ ْع َد إِي َمانِ ُك ْم} [التوبة‬ ُ ‫إِنَّ َما كُ َّنا نَ ُخ‬ 3.  ISTIHZAI NA DINI: Katika mambo yenye kuvunja Uislamu ni kumfanyia istihzai na kejeli Allah SW, au Mtume SAW, au Dini ya Uislamu, au kwa jambo lolote la Dini. Amesema Allah SW: {{Na kama ukiwauliza (kwa nini wanaifanyia Dini mzaha) wanasema: “Sisi tulikuwa tukizungumzazungumza na kucheza tu.” Sema: “Mlikuwa mkimfanyia mzaha Mwenyezi Mungu na Aya Zake na Mtume Wake?” Msitoe udhuru (wa uwongo); umekwisha kudhihiri ukafiri wenu (mliokuwa mkiuficha) baada ya kule kuamini kwenu (kwa uwongo)}} [Suurah At– Tawbah 65–66]

‫ {يَا أَيُّ َها ال َِّذي َن آ َم ُنوا ْ الَ تَتَّ ِخذُوا ْ الْ َي ُهو َد‬:‫ مظاهرة اليهود أو النصارى أو نحوهم من المشركين على المسلمين قال تعالى‬:‫ومنها‬4.4 .]51:‫َوال َّن َصا َرى أَ ْولِ َياء بَ ْعضُ ُه ْم أَ ْولِ َياء بَ ْع ٍض َو َمن يَتَ َولَّ ُهم ِّمن ُك ْم فَ ِإنَّ ُه ِم ْن ُه ْم إِ َّن اللّ َه الَ يَ ْه ِدي الْ َق ْو َم الظَّالِ ِمي َن} [المائدة‬ 4.  KUSHIRIKIANA NA MAKAFIRI DHIDI YA WAISLAMU: Vilevile katika mambo yanayobatilisha Imaan na Uislamu ni kuwasaidia mayahudi na manasara au washirikina dhidi ya waislamu. Amesema Allah SW: {{Enyi Mlioamini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa marafiki (wa kuwapa siri zenu); wao kwa wao ni marafiki. Na miongoni mwenu atakayefanya urafiki huo nao, basi huyo atakuwa pamoja nao. Hakika Mwenyezi Mungu Hawaongozi (njia ya kheri) watu madhalimu}} [Suurah Al–Maidah 51]

:‫اإليمان بالغيب‬ ‫صح‬ َّ ‫ وما أخبر به رسوله صلى الله عليه وسلم مما‬،‫إن من عقيدة أهل السنة والجماعة اإليمان بكل ما أخبر الله سبحانه وتعالى به‬ ‫] وأخرج البخاري في صحيحه‬3 ‫الصال َة َو ِم َّما َر َزقْ َنا ُه ْم يُن ِفقُونَ} [البقرة‬ َّ ‫ {ال َِّذي َن يُ ْؤ ِم ُنو َن بِالْ َغ ْي ِب َويُ ِقي ُمو َن‬:‫عنه من الغيب قال تعالى‬ ‫خمس ال يعلمه َّن إال الله {إِ َّن اللَّ َه ِعن َد ُه ِعلْ ُم‬ ٌ ‫ (مفاتيح الغيب‬:‫ قال صلى الله عليه وسلم‬:‫من حديث ابن عمر رضي الله عنهما قال‬ َ َ ِ }‫ْس ِبأ ِّي أ ْر ٍض ت َ ُموتُ إِ َّن اللَّ َه َعلي ٌم َخبِي ٌر‬ َّ ٌ ‫ْس َّماذَا تَك ِْس ُب َغ ًدا َو َما تَ ْدرِي نَف‬ ٌ ‫السا َع ِة َويُ َن ِّز ُل الْ َغيْثَ َويَ ْعلَ ُم َما ِفي الْ َ ْر َح ِام َو َما تَ ْدرِي نَف‬ .]34 :‫[لقمان‬

Imaan ya Ghaib (Yaliyofichika)

Kwa yakini Aqiida ya Ahlu Sunnah wal Jamaa’h ni kuwa na Imaan kwa yote Aliyotufahamisha Allah SW, na yote yaliyo Sahihi aliyotuelezea Mtume SAW katika mambo ya Ghaib. Amesema Allah SW: {{Ambao huyaamini yasiyoonekana (maadam yamesemwa na Mwenyezi Mungu na Mtume Wake) na

  18  |  Aqiida Ya Kundi Lenye Ushindi 

husimamisha Swala na hutoa katika yale Tuliyowapa}} [Suurah Al–Baqarah 3]. Na amepokea Bukhari hadith ya ibn Umar RA Amesema kuwa; Mtume SAW Amesema: [Funguo za Ghaib ni tano, Hazijui yeyote ila Allah SW, (Amesema Allah SW): {{Kwa hakika ujuzi wa Kiama uko kwa Mwenyezi Mungu tu; Naye Huteremsha mvua (wakati atakao), na Anayajua yaliyomo matumboni (mwa viumbe wa kike – kuwa watazaa au hawazai,na watazaa wanaume au wanawake au wengi au kidogo. Hakuna anayejua isipokuwa Yeye tu Mwenyezi Mungu); na nafsi yoyote haijui ni nini itachuma kesho, wala nafsi haijui itafia ardhi gani. Bila shaka Mwenyezi Mungu Ndiye Mjuzi (Ndiye) Mwenye habari (ya mambo yote)}} [Suurah Luqman 34]

‫ومثال ذلك‬ ِ ‫الس َما َو‬ ‫ات َواألَ ْر َض ِفي ِستَّ ِة أَيَّ ٍام َوكَا َن َع ْرشُ ُه َعلَى الْ َماء لِ َي ْبلُ َوكُ ْم أَيُّ ُك ْم‬ َّ ‫ { َو ُه َو ال َِّذي َخلَق‬:‫ • اإليمان بالعرش والكرسي قال تعالى‬ ِ ِ ِ ‫ { َوس َع‬:‫ وقال تعالى‬،]7 :‫أَ ْح َس ُن َع َمالً َولَ ِئن قُل َْت إِنَّكُم َّمبْ ُعوث ُو َن ِمن بَ ْع ِد الْ َم ْو ِت لَيَقُولَ َّن الَّذي َن كَ َف ُروا ْ إِ ْن َهذَا إِالَّ س ْح ٌر ُّمبِي ٌن} [هود‬ ِ ‫الس َما َو‬ .]255 :‫ات َواألَ ْر َض} [البقرة‬ َّ ‫كُ ْر ِسيُّ ُه‬ Mifano ya Ghaib •  ‘Arshi na Kursi: Na mfano wa Imaan ya Ghaib ni kuamini Arshi na Kursi. Amesema Allah SW: {{Na Yeye Ndiye Aliyeziumba mbingu na ardhi kwa siku sita. Na Arshi Yake ilikuwa juu ya maji. (Kakuumbeni) ili Kukufanyieni mtihani (aonyeshe) ni nani miongoni mwenu mwenye vitendo vizuri (na nani mwenye vitendo vibaya). Na kama ukisema: “Nyinyi mtafufuliwa baada ya kufa”, wale waliokufuru husema: “Hayakuwa haya (unayoyasema) ila ni udanganyifu waziwazi.”}} [Suurah Hud 7]. Amesema Allah SW: {{Kursi Yake imeenea mbingu na ardhi}} [Suurah Al–Baqarah 255]

‫َاب * ال َّنا ُر‬ ِ ‫ { َو َح َاق بِآ ِل ِف ْر َع ْو َن ُسو ُء الْ َعذ‬:‫ •ومن ذلك أيضاً اإليمان بعذاب القبر ونعيمه وسؤال الملكين للعبد في قبره قال تعالى‬ ‫{س ُن َع ِّذبُ ُهم َّم َّرت َ ْينِ ث ُ َّم‬ ِ ‫السا َع ُة أَ ْد ِخلُوا َآل ِف ْر َع ْو َن أَشَ َّد الْ َعذ‬ َ :‫ وقال تعالى‬،]46-45 :‫َاب} [غافر‬ َّ ‫يُ ْع َرضُ و َن َعلَ ْي َها ُغ ُد ًّوا َو َع ِش ًّيا َويَ ْو َم تَقُو ُم‬ .]101 :‫َاب َع ِظ ٍيم} [التوبة‬ ٍ ‫يُ َر ُّدو َن إِلَى َعذ‬ ‫ (إن العبد إذا‬:‫ قال رسول الله صلى الله عليه وسلم‬:‫وأخرج البخاري في صحيحه من حديث أنس بن مالك رضي الله عنه قال‬ ،‫ ما كنت تقول في هذا الرجل‬:‫ يأتيه ملكان فيُقعدانه فيقوالن له‬:‫ قال‬،‫وضع في قبره وتولى عنه أصحابه إنه ليَ ْس َم ُع قر َع نِعالهم‬ ‫ انظر إلى مقعدك من النار قد أبدلك الله به مقعدا ً من الجنة‬:‫ فيقال له‬:‫ قال‬،‫ أشهد أنه عبد الله ورسوله‬:‫ فأما المؤمن فيقول‬:‫قال‬ ‫ (وأما‬:‫ قال‬،‫ ثم رجع إلى حديث أنس‬،‫ أنه يُفسح في قبره‬:‫ قال قتادة وذكر لنا‬،ً‫ فيراهما جميعا‬:‫قال نبي الله صلى الله عليه وسلم‬ ،‫ ال دريت وال تليت‬:‫ فيقال‬،‫ كنت أقول ما يقول الناس‬،‫ ال أدري‬:‫ ما كنت تقول في هذا الرجل؟ فيقول‬:‫المنافق والكافر فيقال له‬ .)‫ يسمعها من يليه غير الثقلين‬،‫ فيصيح صيحة‬،‫ويضرب بمطارق من حديد ضربة‬ •  Adhabu ya Kaburi: Na vilevile katika Imaan ya Ghaib ni kuamini adhabu ya kaburini na neema zake, na maswali ya Malaika wawili kwa aliyezikwa kaburini mwake. Amesema Allah SW: {{Na adhabu mbaya ikawazunguka hao watu wa Fir’auni pamoja naye. Adhabu za Motoni wanadhihirishiwa (makaburini mwao) asubuhi na jioni. Na siku ile kitakapotokea Kiama (kutasemwa): “Waingizeni watu wa Fir’auni katika adhabu kali zaidi (kuliko hii waliyoipata kaburini)”}} [Suurah Ghaafir 45–46] Na Amesema Allah SW: {{Tutawaadhibu mara mbili, kisha watarudishwa katika adhabu kubwa}} [Suurah At–Tawbah 101] Na amepokea Bukhari katika Sahih yake Hadith ya Anas bin Malik RA amesema kuwa Mtume SAW amesema: [Hakika mtu anapowekwa ndani ya kaburi lake na watu wake wakaondoka, kwa yakini yeye husikia vishindo vya viatu vyao; Akasema (Mtume SAW) Malaika wawili humjia wakamkalisha na kumuuliza: Ulikuwa ukisema nini kumhusu Bwana huyu (yaani Mtume SAW)? Akasema

  Abdul-Majid bin Muhammad Al-Munii‘  |  19 

(Mtume SAW): Ama Yule mwenye Imaan atasema; Nashuhudia kuwa yeye ni mja wa Allah SW na Mtume Wake, Akasema (Mtume SAW): Ataambiwa, Angalia sehemu yako ya Motoni, Hakika Allah SW Amekubadilishiya na sehemu ya Peponi. Mtume SAW akasema: Ataona sehemu zote mbili. Qataadah naye akasema, na alitutajia kuwa kaburi lake hupanuliwa, kisha akarudi katika Hadith ya Anas, (Mtume SAW) akasema: Ama Yule munaafiq na kafiri ataulizwa, ulikuwa ukisema nini kumhusu Bwana huyu? Atajibu, sijui, nilikuwa nikisema walosema watu. Basi ataambiwa: Hukujua wala hukusoma. Na atapigwa dharuba kali kwa Nyundo ya chuma, apige ukelele, utasikika ule ukelele na kila aliyekaribu naye isipokuwa watu na majini]

ِ ‫ وحساب الله لخلقه على‬،‫يحصل في ذلك اليوم العظيم من الشدائد واألهوال‬ ‫ •و ِم ْن ذلك إيمانهم‬ ُ ‫ و َما‬،‫بالبعث بعد الموت‬ ‫السا َع َة آتِ َي ٌة َّل َريْ َب ِفي َها َوأَ َّن اللَّ َه يَ ْب َعثُ َمن‬ َّ ‫ { َوأَ َّن‬:‫ وقال تعالى‬،]203 :‫ { َوا ْعلَ ُموا أَنَّ ُك ْم إِلَ ْي ِه تُ ْحشَ ُرونَ} [البقرة‬:‫األعمال قال تعالى‬ ‫السا َع ِة شَ ْي ٌء َع ِظي ٌم * يَ ْو َم ت َ َر ْونَ َها ت َ ْذ َه ُل ك ُُّل ُم ْر ِض َع ٍة َع َّما‬ َّ ‫اس اتَّقُوا َربَّ ُك ْم إِ َّن َزلْ َزلَ َة‬ ُ ‫ {يَا أَيُّ َها ال َّن‬:‫ وقال تعالى‬،]7 ‫ِفي الْ ُق ُبورِ} [الحج‬ ِ ‫أَ ْرضَ َع ْت َوت َضَ ُع ك ُُّل ذ‬ :‫ وقال تعالى‬،]2-1:‫َاب اللَّ ِه شَ ِدي ٌد} [الحج‬ َ ‫اس ُسكَا َرى َو َما ُهم ب ُِسكَا َرى َولَ ِك َّن َعذ‬ َ ‫َات َح ْملٍ َح ْملَ َها َوت َ َرى ال َّن‬ ‫ {قُلِ اللَّ ُه يُ ْحيِي ُك ْم ث ُ َّم‬:‫ وقال تعالى‬،]281:‫{ َواتَّقُوا ْ يَ ْوماً تُ ْر َج ُعو َن ِفي ِه إِلَى اللّ ِه ث ُ َّم تُ َوفَّى ك ُُّل نَف ٍْس َّما ك ََسبَ ْت َو ُه ْم الَ يُظْلَ ُمونَ} [البقرة‬ ِ ‫الس َما َو‬ ِ َ‫ات َو ْال‬ ِ ‫يب ِفي ِه َولَ ِك َّن أَكَثَ َر ال َّن‬ ‫السا َع ُة‬ َّ ‫رض َويَو َم تَقُو ُم‬ َّ ‫اس لَ يَ ْعلَ ُمو َن * َو�لَلَّ ِه ُمل ُْك‬ َ ‫يُ ِميتُ ُك ْم ث ُ َّم يَ ْج َم ُع ُك ْم إِلَى يَ ْو ِم الْ ِق َيا َم ِة َل َر‬ ُ .]28-26 :‫يَ ْو َم ِئ ٍذ يَ ْخ َس ُر الْ ُم ْب ِطلُو َن * َوتَ َرى ك َُّل أُ َّم ٍة َجاثِ َي ًة ك ُُّل أ َّم ٍة ت ُ ْد َعى إِلَى كِتَا ِب َها الْ َي ْو َم ت ُ ْج َز ْو َن َما كُنتُ ْم ت َ ْع َملُونَ} [الجاثية‬ •  Kufufuliwa: Na katika Imaan ya Ghaib ni kuamini kufufuliwa baada ya mauti, na yote yatakayopita Siku hiyo ya shida na misukosuko, na Hisabu ya Allah SW kwa viumbe Wake juu ya amali zao. Amesema Allah SW: {{Na jueni kwamba nyinyi mtakusanywa Kwake}} [Suurah Al–Baqarah 203] Na Amesema Allah SW: {{Na kwamba Kiama kitakuja, hapana shaka ndani yake; na kwa hakika Mwenyezi Mungu Atawafufua walio makaburini}} [Suurah Al–Hajj 7]. Na Amesema Allah SW: {{Enyi watu! Mcheni Mola Wenu, hakika mtetemeko wa Kiama ni Jambo kubwa (kabisa). Siku mtakapokiona (hicho Kiama) – kila mwanamke anyonyeshaye atamsahau amnyonyeshaye, na kila mwenye mimba ataizaa mimba yake (kabla ya wakati kufika). Na utawaona watu wamelewa; kumbe hawakulewa, lakini ni Adhabu ya Mwenyezi Mungu (tu hiyo) iliyo kali.}} [Suurah Al–Hajj 1–2] Na Akasema Allah SW: {{Na iogopeni Siku ambayo mtarudishwa kwa Mwenyezi Mungu, kisha viumbe wote watalipwa kwa ukamilifu yote waliyoyachuma; nao hawatadhulumiwa}} [Suurah Al–Baqarah 281]. Na Akasema Allah SW: {{Sema: Mwenyezi Mungu Anakupeni uhai, kisha Anakufisheni, kisha Atakukusanyeni Siku ya Kiama – (siku ambayo) haina shaka; lakini watu wengi hawajui.” Na Ufalme wa mbingu na ardhi ni wa Mwenyezi Mungu; na Siku kitakapotokea Kiama, Siku hiyo wataangamia wanaokamatana na batili. Na utauona kila Ummah umepiga magoti (siku hiyo); na kila ummah utaitwa kwenda (kusoma) kitabu chao (waambiwe) “Leo mtalipwa yale mliyokuwa mkiyatenda”}} [Suurah Al–Jaathiyah 26–28]

‫ وقد‬،]23-22 :‫ { ُو ُجو ٌه يَ ْو َم ِئ ٍذ ن َِّاض َر ٌة * إِلَى َربِّ َها ن َِاظ َرةٌ} [القيامة‬:‫ •ومن ذلك إيمانهم برؤية المؤمنين لربهم في اآلخرة قال تعالى‬ ‫ يا رسول‬:‫تواترت األحاديث عن رسول الله صلى الله عليه وسلم في ذلك ومنها حديث أبي هريرة رضي الله عنه أن ناساً قالوا‬ ‫ ال يا رسول‬:‫ (هل تضارون في رؤية القمر ليلة البدر؟) قالوا‬:‫ هل نرى ربنا يوم القيامة؟ فقال رسول الله صلى الله عليه وسلم‬،‫الله‬ ‫ أخرجاه في الصحيحين‬،‫ (فإنكم ترونه كذلك) الحديث‬:‫ قال‬،‫ ال‬:‫ (هل تضارون في الشمس ليس دونها سحاب؟) قالوا‬:‫ قال‬،‫الله‬ .‫بطوله‬ •  Kumuona Allah SW: Na katika Imaan ya Ghaib, ni kuamini kuwa waumini watamuona Mola Wao katika Aakhera. Amesema Allah SW: {{Nyuso (nyingine) Siku hiyo zitang’ara (kweli kweli). Zinamtazama Mola wao}} [Suurah Al–Qiyamah 22–23] Na Hakika Hadithi zimepokewa kwa misururu (sanad mutawaatir) za kuyakinisha kutoka kwa Mtume SAW kuhusu hilo, kama vile hadith ya Abu Hurayra RA kuwa watu walisema: [Ewe Mtume wa Allah SW Je tutamuona Mola Wetu Siku ya Qiyama? Akasema Mtume SAW: Je mnacho kizuizi

  20  |  Aqiida Ya Kundi Lenye Ushindi 

‫‪katika kuona mwezi usiku wa badri (unapokamilika duara lake)? Wakajibu: La, Ewe Mtume wa‬‬ ‫?‪Allah SW. Akauliza tena: Je munacho kizuizi katika kuona jua ambalo halijafinikwa kwa mawingu‬‬ ‫]‪Wakajibu: La. Akasema (Mtume SAW): Basi hakika nyinyi mutamuona (Mola Wenu) hivyohivyo‬‬ ‫)‪Hadith imepokewa katika Sahih mbili (Bukhari na Muslim‬‬

‫ •ومن ذلك إيمانهم بالشفاعة لمن أذن الله له فيها‪ ،‬ورضي عن المشفوع له قال تعالى‪َ { :‬ولَ تَن َف ُع الشَّ فَا َع ُة ِعن َد ُه إِلَّ لِ َم ْن أَ ِذ َن لَ ُه}‬ ‫[سبأ‪ ،]23 :‬وقال تعالى‪َ { :‬ولَ يَشْ َف ُعو َن إِلَّ لِ َمنِ ا ْرتَضَ ى} [األنبياء‪.]28 :‬‬ ‫وممن يشفع األنبياء والمالئكة والشهداء ومن أذن له الله سبحانه وتعالى من الصالحين‪.‬‬ ‫‪•  Shafa’ah (Maombezi): Na katika Imaan ya Ghaib vilevile, ni kuamini Shafa’ah kwa Yule‬‬ ‫‪Atakayepewa idhini na Allah SW na kisha Allah SW Awe Atamridhiya Aliyeombewa Shafa’ah.‬‬ ‫‪Amesema Allah SW: {{Wala hautafaa uombezi mbele Yake (Mwenyezi Mungu) ila kwa yule‬‬ ‫‪Aliyempa idhini}} [Suurah Saba’ 23]. Na Akasema Allah SW: {{Na (Hao Malaika) hawamuombei‬‬ ‫‪(yoyote) ila yule Anayemridhia (Mwenyewe Mwenyezi Mungu), nao kwa ajili ya kumuogopa‬‬ ‫]‪wananyenyekea}} [Suurah Al–Anbiya 28‬‬ ‫‪Na miongoni mwa watakaoomba Shafa’ah ni Manabii, na Malaika, na Mashuhadaa, na yeyote‬‬ ‫‪Atakayepewa idhini na Allah SW katika watu wema.‬‬

‫ •ويختص الرسول صلى الله عليه وسلم بالشفاعة العظمى‪ ،‬وهي شفاعته ألهل الموقف يوم القيامة بأن يقضي الله بينهم‪ ،‬وكذا‬ ‫اإليمان بالشفاعة فيمن دخل النار من المؤمنين أن يخرجوا منها‪ ،‬وهي للنبي صلى الله عليه وسلم وغيره من النبيين والمؤمنين‬ ‫والمالئكة‪ ،‬وهذه الشفاعة تتكرر منه صلى الله عليه وسلم أربع مرات‪ ،‬وبأن الله تعالى يُخرج من النار أقواماً من المؤمنين بغير‬ ‫ناس من أهلِ‬ ‫شفاعة‪ ،‬بل بفضله ورحمته‪ ،‬فقد أخرج البخاري ومسلم في صحيحيهما عن معبد بن هالل العنزي قال‪ :‬اجتمعنا‪ٌ ،‬‬ ‫البصرة‪ ،‬فذهبنا إلى أنس بن مالك‪ ،‬وذهبنا معنا ِ‬ ‫بثابت ال ُبناني إليه‪ ،‬يسأله لنا عن حديث الشفاعة‪ ،‬فإذا هو في قصره‪ ،‬فوافقناه‬ ‫يصلي الضحى‪ ،‬فاستأذنا‪ ،‬فأذن لنا وهو قاعد على فراشه‪ ،‬فقلنا لثابت‪ :‬ال تسأله عن شي ٍء أول من حديث الشفاعة‪ ،‬فقال‪ :‬يا أبا‬ ‫حمزة‪ ،‬هؤالء إخوانك من أهل البصرة‪ ،‬جاؤوك يسألونك عن حديث الشفاعة‪ ،‬فقال‪ :‬حدثنا محمد صلى الله عليه وسلم‪ ،‬قال‪ :‬إذا‬ ‫كان يوم القيامة‪ ،‬ماج الناس بعضهم في بعض‪ ،‬فيأتون آدم‪ ،‬فيقولون‪ :‬اشفع لنا إلى ربك‪ ،‬فيقول‪ :‬لست لها ولكن عليكم بإبراهيم‪،‬‬ ‫فإنه خليل الرحمن‪ ،‬فيأتون إبراهيم‪ ،‬فيقول‪ :‬لست لها‪ ،‬ولكن عليكم بموسى‪ ،‬فإنه كليم الله‪ ،‬فيأتون موسى‪ ،‬فيقول‪ :‬لست لها‪،‬‬ ‫ٍ‬ ‫بمحمد صلى الله عليه وسلم‪ ،‬فيأتوني‪،‬‬ ‫لكن عليكم بعيسى‪ ،‬فإنه روح الله وكلمته‪ ،‬فيأتون عيسى‪ ،‬فيقول‪ :‬لست لها‪ ،‬ولكن عليكم‬ ‫َ‬ ‫ِ‬ ‫فأقول‪ :‬أنا لها‪ ،‬فأستأذن على ربي فيؤذن لي‪ ،‬ويلهمني محامد أحمده بها‪ ،‬ال تحضرني اآلن‪ ،‬فأحمده بتلك المحامد‪ ،‬وأخ ُّر له‬ ‫وس ْل تُعط‪ ،‬فأقول‪ :‬يا رب أمتي أمتي‪ ،‬فيقال‪ :‬انطلق فأخرِج‬ ‫ساجدا ً‪ ،‬فيقال‪ :‬يا محمد‪ ،‬ارفع رأسك‪ ،‬وقل يسمع لك‪ ،‬واشفع تُشفَّع‪َ ،‬‬ ‫منها من كان في قلبه مثقال شعيرة من إيمان‪ ،‬فأنطلق فأفعل‪ ،‬ثم أعود فأحمده بتلك المحامد‪ ،‬ثم أَ ِخ ُّر له ساجدا ً‪ ،‬فيقال‪ :‬يا‬ ‫محمد‪ ،‬ارفع رأسك‪ ،‬وقل يسمع لك‪ ،‬واشفع تشفع‪ ،‬وسل تعط‪ ،‬فأقول‪ :‬يا رب أمتي أمتي‪ ،‬فيقال‪ :‬انطلق فأخرج منها من كان في‬ ‫قلبه مثقال ذرة أو خردلة من إيمان‪ ،‬فأنطلق فأفعل‪ ،‬ثم أعود بتلك المحامد‪ ،‬ثم أخر له ساجدا ً‪ ،‬فيقال‪ :‬يا محمد‪ ،‬ارفع رأسك‪،‬‬ ‫وقل يسمع لك‪ ،‬وسل تعط‪ ،‬واشفع تشفع‪ ،‬فأقول‪ :‬يا رب‪ ،‬أمتي أمتي‪ ،‬فيقول‪ :‬انطلق فأخرج من كان في قلبه أدنى أدنى مثقال‬ ‫حبة من خردل من إيمان‪ ،‬فأخرجه من النار‪ ،‬فأنطلق فأفعل‪ .‬قال‪ :‬فلما خرجنا من عند أنس‪ ،‬قلت لبعض أصحابنا لو مررنا‬ ‫بالحسن‪ ،‬وهو متوا ٍر في منزل أبي خليفة‪ ،‬فحدثناه بما حدثنا به أنس بن مالك‪ ،‬فأتيناه‪ ،‬فسلمنا عليه‪ ،‬فأذن لنا‪ ،‬فقلنا له‪ :‬يا أبا‬ ‫سعيد‪ ،‬جئناك من عند أخيك أنس بن مالك‪ ،‬فلم نر مثل ما حدثنا في الشفاعة‪ ،‬فقال‪ :‬هيه؟ فحدثاه بالحديث‪ ،‬فانتهى إلى هذا‬ ‫الموضع‪ ،‬فقال‪ :‬هيه؟ فقلنا لم يزد لنا على هذا‪ ،‬فقال‪ :‬لقد حدثني وهو جميع‪ ،‬منذ عشرين سنة‪ ،‬فما أدري‪ ،‬أنسي أم كره أن‬ ‫تتكلوا؟ فقلنا‪ :‬يا أبا سعيد‪ ،‬فح ِّدثنا‪ِ ،‬‬ ‫فضحك وقال‪ُ :‬خلق اإلنسان عجوالً ! ما ذكرتُ ُه إال وأنا أريد أن أح ِّدثكم‪ ،‬ح َّدثني كما ح َّدثكم به‪،‬‬ ‫قال‪ :‬ثم أعود الرابعة‪ ،‬فأحمده بتلك المحامد‪ ،‬ثم أخر له ساجدا ً‪ ،‬فيقال‪ :‬يا محمد‪ ،‬ارفع رأسك‪ ،‬وقل يسمع‪ ،‬وسل تعطه‪ ،‬واشفع‬ ‫تشفع‪ ،‬فأقول‪ :‬يا رب‪ ،‬ائذن لي فيمن قال‪ :‬ال إله إال الله‪ ،‬فيقول‪ :‬و ِع َّزتي وجاللي‪ ،‬وكبريائي وعظمتي‪ ،‬ألُخ ِر َج َّن منها من قال‪ :‬ال إله‬ ‫إال الله‪.‬‬ ‫قال رسول الله صلى الله عليه وسلم‪( :‬يقول الله‪ :‬شفعت المالئكة‪ ،‬وشفع النبيون‪ ،‬وشفع المؤمنون‪ ،‬ولم يبق إال أرحم الراحمين‬ ‫فيقبض قبضة من النار فيخرج منها قوماً لم يعملوا خيرا ً قط)‪.‬‬ ‫‪Na Mtume SAW amekhusishwa kwa Shafa’ah Kubwa, nayo ni maombezi yake kuwaombea‬‬ ‫‪viumbe wote Siku ya Kiama ili Allah SW Ahukumu baina yao. Vilevile kuamini Shafa’ah kwa kila‬‬

‫ ‪  Abdul-Majid bin Muhammad Al-Munii‘  |  21‬‬

muislamu aliyeingia Motoni awe atatolewa, na Shafa’ah yenyewe ni ya Mtume SAW, na wengineo katika Manabii, waumini, na Malaika. Na hii Shafa’ah (maombezi ya waislamu kutolewa Motoni) itakaririwa na Mtume SAW mara nne. Na Allah SW vilevile atawatoa Motoni watu miongoni mwa waumini bila ya Shafa’ah, lakini kwa Fadhla Yake na Rehma Yake. Kwa hakika wamepokea Bukhari na Muslim Hadith ya Ma’bad bin Hilal Al–’Anzi Amesema; Tulikusanyika watu wa Basra, tukamuendea Anas bin Malik, na tukaenda pamoja na Thaabit Al–Bunani, ili atuulizie Hadith ya Shafa’ah. Basi tukampata katika Qasri yake akiswali Swala ya Dhuha, tukaomba idhini ya kuingia, tukaidhinishwa kuingia ili hali ya kuwa ametulia juu ya tandiko lake. Tukamwambia Thaabit; usimuulize lolote lingine kabla ya Hadith ya Shafa’ah, basi akasema: Ewe Abu Hamzah hawa ndugu zako kutoka Basra, wamekutembelea wakiulizia kuhusu Hadith ya Shafa’ah. Akajibu (Anas bin Malik) Ametuhadithia Mtume SAW, Akasema: [Pindi itakapokuwa Siku ya Kiama, watu watasongamana wao kwa wao, (kisha) wamuendee Adam AS waseme: Tuombee kwa Mola Wako. Atajibu: Mimi siye mwenye hilo lakini muendeeni Ibrahim AS kwani yeye ni Kipenzi cha Allah SW. Watamuendea Ibrahim AS naye atasema: Mimi siye wa hilo muendeeni Musa AS kwani yeye ni Mzungumzi wa Allah SW. Watamuendea Musa AS naye atasema: Mimi siye wa hilo lakini muendeeni Issa AS kwani yeye ni Roho ya Allah na Neno Lake, kisha watamuendea Issa naye atasema: Mimi siye wa hilo, lakini nendeni kwa Muhammad SAW, basi watu watanijia, nami nitawaambia: Mimi ndiye mwenye hilo, basi nitaomba idhini kwa Mola Wangu kisha nipewe idhini, baadaye nipate ilhaam ya Sifa nitakazomsifu nazo Allah SW ambazo sasa hivi sizijui, kisha nitamsifu kwa Hizo Sifa, kisha nitakuwa mwenye kumsujudia; Basi Nitaambiwa Ewe Muhammad, nyanyua kichwa chako, na sema utasikizwa, na ombea utakubaliwa, na itisha utapewa; Basi nitasema Ewe Mola Wangu Ummah wangu, Ummah wangu: Nitaambiwa Nenda umtoe yeyote Mwenye Imaan mfano wa mbegu ya ngano. Basi nitakwenda na nifanye hivyo, kisha nitarudi na nimsifu tena kwa Hizo Sifa, na nimsujudie. Basi nitaambiwa Ewe Muhammad, nyanyua kichwa chako, na sema utasikizwa, na ombea utakubaliwa, na itisha utapewa; Basi nitasema Ewe Mola Wangu Ummah wangu, Ummah wangu: Nitaambiwa Nenda umtoe yeyote Mwenye Imaan mfano wa mbegu ya hindi au (khardala). Basi nitakwenda na nifanye hivyo, kisha nitarudi na nimsifu tena kwa Hizo Sifa, na nimsujudie. Basi nitaambiwa Ewe Muhammad, nyanyua kichwa chako, na sema utasikizwa, na ombea utakubaliwa, na itisha utapewa; Basi nitasema Ewe Mola Wangu Ummah wangu, Ummah wangu: Nitaambiwa Nenda umtoe yeyote Mwenye Imaan ya chini kabisa kuliko uzito wa tembe ya khardala katika moyo wake, basi mtoe Motoni. Nitaenda na nifanye hivyo.] Akasema (Ma’bad), tulipotoka kwa Anas RA, nikawaambia wenzangu lau tungempitia Al–Hassan, naye amejisitiri nyumbani kwa Abu Khalifa, tumhadithie alichotuhadithia Anas RA. Basi tukamuendea, tukamsalamia na akatukaribisha, tukamwambia: Ewe Abu Saeed tumekupitia kutoka kwa ndugu yako Anas bin Malik RA, na hatujapata kusikia mfano wa alichotuhadithia kuhusu Shafa’ah. Akasema (Al–Hassan): Haya (nielezeni), tukamhadithia mpaka tukakoma hapo (alipokoma Anas RA). Akasema: Haya (endelea) Tukajibu: Hakuzidisha kitu baada ya hapo. Akasema Al–Hassan: Hakika alinihadithia mimi kwa ukamilifu zaidi ya miaka ishirini, basi sijui amesahau au amechukia huenda mukategemea (na kuacha kufanya amali). Basi tulimwambia, Ewe Abu Saeed basi tuelezee. (Al–Hassan) Akacheka na kusema; Ameumbwa mwanadamu na sifa ya kupapia! Sikuwatajia ila nimekusudia kuwahadithia . . (Kisha Al–Hassan akaendelea kusema) Alinihadithia kama alivyowahadithia, kisha: Mtume SAW akasema: [Kisha nitarudi mara ya nne, na nimsifu kwa Zile Sifa Tukufu, kisha nimsujudie. Basi Ataambiwa; Ewe Muhammad nyanyua kichwa chako, na sema utasikizwa, na ombea utakubaliwa, na itisha utapewa; Basi nitasema Ewe Mola Wangu nipe idhini kwa yeyote aliyesema LA ILAHA ILLA ALLAH. Atasema (Allah SW): Kwa Izza Yangu, na Utukufu Wangu, na Majivuno Yangu, na Ukubwa Wangu, Nitamtoa ndani ya (Moto) kila aliyesema LA

  22  |  Aqiida Ya Kundi Lenye Ushindi 

ILAHA ILLA ALLAH Akasema Mtume SAW: [Atasema Allah SW: Malaika wameomba, Manabii wameomba, na wala hakubaki ila Mwingi wa Rehma Zaidi kuliko wenye huruma. Basi Atachukua kundi kutoka Motoni, wawe watatoka Motoni watu ambao hawakufanya kheri yoyote.]

‫ أخرج البخاري‬،]1 :‫ {إِنَّا أَ ْعطَيْ َن َاك الْ َك ْوث َ َر} [الكوثر‬:‫ •ومن ذلك إيمانهم بحوض النبي صلى الله عليه وسلم في اآلخرة قال تعالى‬ ‫ ماؤه أبيض‬،‫ (حوضي مسيرة شهر‬:‫ قال رسول الله صلى الله عليه وسلم‬:‫في صحيحه عن عبد الله بن عمرو رضي الله عنهما قال‬ ‫ وأخرج أيضاً في صحيحه عن أنس‬،)ً ‫ من شرب منها فال يظمأ أبدا‬،‫ وكيزانه كنجوم السماء‬،‫ وريحه أطيب من المسك‬،‫من اللبن‬ ‫ وإن فيه من‬،‫ (إ َّن قدر حوضي كما بين أيلة وصنعاء من اليمن‬:‫ قال رسول الله صلى الله عليه وسلم‬:‫بن مالك رضي الله عنه قال‬ ٍ ‫ وأخرج في صحيحه أيضاً عن‬،)‫األباريق كعدد نجوم السماء‬ ‫ (ليردن‬:‫ قال رسول الله صلى الله عليه وسلم‬:‫أنس رضي الله عنه قال‬ .)‫ ال تدري ما أحدثوا بعدك‬:‫ أصيحابي؟ فيقول‬:‫ فأقول‬،‫ حتى إذا عرفتهم اختُلجوا دوني‬،‫ناس من أصحابي الحوض‬ ٌ ‫علي‬ َّ •  Haudh (Birika) la Mtume SAW: Vilevile katika Imaan ya Ghaib ni kuamini Birika la Mtume SAW katika Aakhera. Amesema Allah SW: {{Hakika Sisi Tumekupatia Kawthar}} [Suurah Al–Kawthar 1] Amepokea Bukhari Hadith ya Abdullah bin Amri RA amesema kuwa: Mtume SAW Amesema: [Birika langu (ukubwa wake) ni mwendo wa mwezi mmoja, maji yake ni meupe kuliko maziwa na harufu yake ni nzuri zaidi kuliko miski na vijagi vyake ni kama (idadi ya) nyota mbinguni, atakayekunywa maji hayo basi hatoshikwa na kiu milele]. Na akapokea tena Hadith ya Anas bin Malik RA akisema kuwa: Mtume SAW Amesema: [Hakika kipimo cha Birika langu ni kama baina ya mji wa Aylah na San’ah ndani ya Yemen, na hakika ndani yake muna vijagi kama idadi ya nyota za mbinguni]. Na akapokea tena Hadith ya Anas RA amesema, Mtume SAW Amesema: [Watanijia mimi watu katika Ummah wangu sehemu ya Birika, mpaka nitakapowafahamu watahangaishwa kando yangu, basi nitasema: Watu wangu? Nitajibiwa, Hujui walichozua baada yako]

‫َّت َم َوازِي ُن ُه‬ ْ ‫ { َوالْ َو ْز ُن يَ ْو َم ِئ ٍذ الْ َح ُّق فَ َمن ث َ ُقل َْت َم َوازِي ُن ُه فَأُ ْولَ ِئ َك ُه ُم الْ ُم ْفلِ ُحو َن * َو َم ْن َخف‬:‫ •ومن ذلك إيمانهم بالميزان قال تعالى‬ ‫ وأخرج البخاري ومسلم في صحيحيهما عن أبي هريرة‬،]9-8 :‫فَأُ ْولَ ِئ َك ال َِّذي َن َخ ِس ُروا ْ أَنف َُس ُهم ِب َما كَانُوا ْ بِآيَاتِ َنا ِيظْلِ ُمونَ} [األعراف‬ ‫ حبيبتان إلى‬،‫ ثقيلتان في الميزان‬،‫ (كلمتان خفيفتان على اللسان‬:‫ قال رسول الله صلى الله عليه وسلم‬:‫رضي الله عنه قال‬ .)‫ سبحان الله العظيم‬،‫ سبحان الله وبحمده‬:‫الرحمن‬ •  Mizani ya Kiama: Na katika Imaan ya Ghaib ni kuamini Mizani. Amesema Allah SW: {{Na Siku Hiyo Mizani (Kipimo) kitakuwa sawa (kabisa cha kulipwa kila mtu amali zake). Basi watakaokuwa na uzani mzito, hao ndio watakaofaulu. Na watakaokuwa na uzani khafifu, basi hao ndio waliozitia hasarani nafsi zao kwa sababu ya kuzifanyia ujeuri Aya Zetu.}} [Suurah Al–A’raaf 8–9]. Na pia amepokea Bukhari na Muslim Hadith ya Abu Hurayra RA Amesema kuwa: Mtume SAW Amesema: [Maneno mawili ni mepesi katika ulimi, mazito katika Mizani, yapendezayo mno mbele ya Mwingi wa Rehma: SubhaanaAllahu Wabihamdihi na SubhaanaAllahu Al–Adheem]

‫ وأخرج‬،]66 :‫الص َرا َط فَأَنَّى يُ ْب ِص ُرونَ} [يس‬ ِّ ‫ { َولَ ْو نَشَ اء لَطَ َم ْس َنا َعلَى أَ ْع ُي ِن ِه ْم ف َْاستَ َبقُوا‬:‫ •ومن ذلك إيمانهم بالصراط قال تعالى‬ ٍ ‫ (ويُضرب الصراط‬:‫حديث طويل وفيه‬ ‫مسلم في صحيحه عن أبي هريرة رضي الله عنه عن رسول الله صلى الله عليه وسلم في‬ ٍ ٍ ‫ وفي جهنم‬،‫ اللهم سلِّم سلِّم‬:‫ ودعوى الرسل يومئذ‬،‫يومئذ إال الرسل‬ ‫ وال يتكلم‬،‫بين ظهري جهنم فأكون أنا وأمتي أول من يُجيز‬ ‫ (فإنها مثل شوك السعدان؛ غير أنه ال يعلم ما‬:‫ قال‬،‫ نعم يا رسول الله‬:‫ هل رأيتم السعدان؟) قالوا‬،‫كالليب مثل شوك السعدان‬ .)‫قدر عظمها إال الله تخطف الناس بأعمالهم‬ •  Siraat (Njia ya kuvuka Moto kwenda Peponi): Pia katika Imaan ya Ghaib ni kuamini Siraat. Amesema Allah SW: {{Na kama Tungependa Tungewapofua macho yao; wakawa wanakimbilia Siraat (Njia); lakini wangeonaje?}} [Suurat Yasin 66]. Na amepokea Muslim Hadith ya Abu

  Abdul-Majid bin Muhammad Al-Munii‘  |  23 

Hurayrah RA kutoka kwa Mtume SAW katika Hadith ndefu, ndani yake (Amesema Mtume SAW): [Na Siraat itawekwa juu ya mgongo wa Moto wa Jahannam, basi Mimi na Ummah wangu tutakuwa wa mwanzo kuivuka, na hawatozungumza Siku Hiyo ila Mitume, na ombi la Mitume itakuwa: Ewe Mola twaomba Salama, Ewe Mola twaomba Salama, na ndani ya Moto kuna Kalaalib (Vyuma vilivyokunjwa) mfano wa mwiba wa mti wa Sa’daan. Je mumewahi kuona mti wa Sa’daan? Wakajibu (maswahaba): Ndio Ewe Mtume wa Allah SW. Akasema: Basi hizo Kalaalib ni mfano wa mwiba wa Sa’daan, isipokuwa hamna anayejua ukubwa wake ila Allah SW, zinawanyakua watu kwa kadri ya amali zao]

‫ { َوكَ َذلِ َك أَ ْو َحيْ َنا إِلَيْ َك قُ ْرآنًا َع َر ِبيًّا لِّتُ ِنذ َر أُ َّم الْ ُق َرى َو َم ْن َح ْولَ َها َوت ُِنذ َر يَ ْو َم الْ َج ْمعِ َل َريْ َب‬:‫ •ومن ذلك إيمانهم بالجنة والنار قال تعالى‬ .]7 :‫الس ِعيرِ} [الشورى‬ ٌ ‫ِيق ِفي الْ َج َّن ِة َوفَر‬ ٌ ‫ِفي ِه فَر‬ َّ ‫ِيق ِفي‬ •  Pepo na Moto: Na pia vilevile katika Imaan ya Ghaib ni Imaan yao ya Pepo na Moto, Amesema Allah SW: {{Na namna hivi Tumekufunulia Qur’an kwa Kiarabu ili uwaonye watu wa Makkah na walio (katika nchi zilizo) pembeni mwake. (Nao ni ulimwengu mzima kwani Makkah iko katikati ya ulimwengu.) Na uwaonye Siku ya mkutano; Siku isiyo na shaka (kuwa itakuja). Kundi moja litakuwa Peponi na Kundi jingine Motoni}} [Suurah Ash–Shuura 7]

‫ •ومن عقيدة أهل السنة والجماعة إيمانهم بأن القرآن كالم الله سبحانه وتعالى من َّز ٌل غير مخلوق تكفَّل الله بحفظه من النقص‬ * ‫وح الْ َ ِمي ُن * َعلَى قَلْب َِك لِتَكُو َن ِم َن الْ ُم ِنذرِي َن‬ ُ ‫{ َوإِنَّ ُه لَتَنز ُِيل َر ِّب الْ َعالَ ِمي َن * نَ َز َل ِب ِه ال ُّر‬:‫والزيادة والتحريف والتبديل قال تعالى‬ ِ .]9 :‫ {إِنَّا نَ ْح ُن نَ َّزلْ َنا ال ِّذكْ َر َوإِنَّا لَ ُه لَ َحافظُونَ} [الحجر‬:‫ وقال تعالى‬،]195-192 :‫ِبلِ َسانٍ َع َرب ٍِّي ُّمبِينٍ } [الشعراء‬ •  Al–Qur’an ni Maneno ya Allah SW: Na vilevile katika Aqiida ya Ahlu Sunnah wal Jama’ah ni kuamini kwao kuwa Al–Qur’an ni Maneno ya Allah SW, Yaliyoteremshwa Ambayo Hayakuumbwa, na Amejikalifisha Allah SW Kuihifadhi kutokana na upungufu, ziada, mageuzi na mabadilisho. Amesema Allah SW: {{Na bila shaka Hii (Al–Qur’an) ni Uteremsho wa Mola wa walimwengu wote, Ameteremsha haya mhuyisha Sharia mwaminifu (Jibreel), juu ya moyo wako, ili uwe miongoni mwa waonyaji, kwa lugha ya Kiarabu waziwazi (fasihi)}} [Suurah Ash–Shu’araa 192–195] Na Akasema Allah SW: {{Hakika Sisi ndio Tulioteremsha Mauidha haya (hii Al–Qur’an); na Hakika Sisi ndio Tutakayoyalinda}} [Suurah Al–Hijr 9]

:‫أفضل القرون‬ ‫ (خير‬:‫ قال صلى الله عليه وسلم‬،‫ومن عقيدة أهل السنة والجماعة أن خير هذه األمة هم الصحابة ثم التابعون ثم تابعوهم بإحسان‬ .‫ ثم الذين يلونهم) أخرجاه في الصحيحين‬،‫ ثم الذين يلونهم‬،‫الناس قرني‬ ‫ (ال تزال‬:‫ثم إنه ال تزال طائفة من هذه األمة على الحق ظاهرين ال يضرهم من خذلهم وال من خالفهم قال صلى الله عليه وسلم‬ .‫طائفة من أمتي على الحق ظاهرين ال يضرهم من خذلهم وال من خالفهم حتى تقوم الساعة) أخرجاه في الصحيحين‬

Bora ya Karne

Na katika Aqiida ya Ahlu Sunnah wal Jama’ah ni kuwa Bora kabisa (ya Karne) kwa Ummah huu ni ma– Swahaba, kisha watakaowafuata (Taabi’oon), kisha wafuasi wa hao (Atbaa’ut–Taabi’een) katika wema. Amesema Mtume SAW: [Bora ya watu ni Karne Yangu, kisha watakao wafuata, kisha watakao wafuata] wapokezi ni Bukhari na Muslim. Kisha haitoacha kupatikana kundi katika Ummah huu ambalo litashikamana na haki ili hali watakuwa washindi, hawatodhuriwa na wenye kuwasaliti, wala wenye kuwapinga. Amesema Mtume SAW: [Halitakosekana kundi katika Ummah wangu ambalo litakuwa katika haki, hawatodhuriwa na wasaliti wala wenye kuwa khalifu mpaka kusimame Kiama] Hadithi imepokewa na Bukhari na Muslim.

  24  |  Aqiida Ya Kundi Lenye Ushindi 

:‫محبة الصحابة‬ ‫ فقد أثنى الله سبحانه وتعالى‬،‫ و الترضي عليهم‬،‫ومن عقيدة أهل السنة والجماعة محبة أصحاب الرسول صلى الله عليه وسلم‬ ‫نصا ِر َوال َِّذي َن اتَّ َب ُعو ُهم ِب ِإ ْح َسانٍ َّر ِض َي اللّ ُه‬ َ َ‫السا ِبقُو َن األَ َّولُو َن ِم َن الْ ُم َها ِجرِي َن َواأل‬ َّ ‫ { َو‬:‫ فقال تعالى‬،‫ورسوله صلى الله عليه وسلم عليهم‬ َ ٍ ‫َع ْن ُه ْم َو َرضُ وا ْ َع ْن ُه َوأَ َع َّد لَ ُه ْم َج َّن‬ :‫ وقال صلى الله عليه وسلم‬،]100:‫ات تَ ْجرِي تَ ْحتَ َها األَنْ َها ُر َخالِ ِدي َن ِفي َها أبَ ًدا َذلِ َك الْ َف ْو ُز الْ َع ِظي ُم} [التوبة‬ ٍ ُ‫ فإن أحدكم لو أنفق مثل أ‬،‫(ال تسبوا أحدا ً من أصحابي‬ .‫حد ذهباً ما بلغ ُم َّد أحدهم وال نصيفه) أخرجاه في الصحيحين‬

Mapenzi kwa Maswahaba

Na katika Aqiida ya Ahlu Sunnah wal Jama’ah ni mapenzi kwa Maswahaba wa Mtume SAW na kuwaridhiya kwani Hakika Amewasifu Allah SW pamoja na Mtume Wake SAW. Akasema Allah SW: {{Na wale waliotangulia wakawa wa kwanza katika (Uislamu) Muhajirina na Ansari, na wale waliowafuata kwa mwendo mzuri – Mwenyezi Mungu Atawapa radhi, nao wamridhie (Mwenyezi Mungu kwa hayo mazuri Atakayowapa) na Amewaandalia Mabustani yapitayo mito mbele yake, wakakae humo milele. Huku ndiko Kufuzu Kukubwa}} [Suurah At–Tawbah 100] Na Akasema Mtume SAW: [Msimtukane yeyote kati ya Maswahaba wangu, kwani hakika mmoja wenu lau atatoa dhahabu mfano wa mlima Uhud basi haitafikia kiwango cha mkono wa Swahaba, wala nusu yake] wapokezi wa hadith ni Bukhari na Muslim.

‫ ذرفت منها‬،‫ وعظنا رسول الله صلى الله عليه وسلم موعظة بليغة‬:‫ قال‬،‫وأخرج أهل السنن عن العرباض بن سارية رضي الله عنه‬ ،‫ (أوصيكم بالسمع والطاعة‬:‫ فماذا تعهد إلينا؟ فقال‬،‫ كأن هذه موعظة مودع‬،‫ يا رسول الله‬:‫ فقال قائل‬،‫ ووجلت منها القلوب‬،‫العيون‬ ‫ وعضوا‬،‫ تمسكوا بها‬،‫ فعليكم بسنتي وسنة الخلفاء الراشدين المهديين من بعدي‬،ً ‫فإنه من يعش منكم بعدي فسيرى اختالفاً كثيرا‬ ‫ (الخالفة في أمتي ثالثين سنة) أخرجه‬:‫ وقال صلى الله عليه وسلم‬.)‫ فإن كل بدعة ضاللة‬،‫ وإياكم ومحدثات األمور‬،‫عليها بالنواجذ‬ ‫ حيث خلف أبو بكر رضي الله عنه الرسول صلى الله عليه‬،‫ وكان آخرها خالفة علي رضي الله عنه‬،‫اإلمام أحمد وأبو داود والترمذي‬ ‫ست سنين‬ َّ ‫ وعلي رضي الله عنه‬،‫ وعثمان رضي الله عنه اثنا عشر سنة‬،ً ‫ وعمر رضي الله عنه عشرا‬،‫وسلم سنتين‬ Na wamepokea wenye vitabu vya Hadith (Sunan), hadithi kutoka kwa ‘Irbaadh bin Saariya RA kuwa amesema: [Mtume SAW alitupa mawaidha mazito mpaka macho yakajaa machozi na nyoyo zikalainika. Akasema mmoja,”Ewe Mtume wa Allah SW, haya mawaidha ni kama ya mwisho basi ni jambo gani ambalo utatuusia nalo?” Akasema Mtume SAW, “Nawausieni katika kusikiza na kutii, kwa hakika yeyote atakayeishi miongoni mwenu baada yangu mimi basi ataona ikhtilafu nyingi, basi jilazimisheni na Sunnah yangu (mwenendo wangu) na Sunnah ya Makhalifa waongofu baada yangu mimi, shikamaneni nayo, na muikamate kabisa kwa meno ya magego na tahadharini sana na mambo ya kuzuliwa, kwani hakika bid’ah zote (uzushi katika Dini) ni Upotofu”] Na akasema Mtume SAW: [Khilafa katika Ummah wangu ni miaka thelathini] amepokea hadithi Imam Ahmad na Abu Dawuud na Tirmidhi. Na mwisho wa Khilafa ulikuwa ni khilafa ya Ali RA, kwani Abubakr RA alikuwa khalifa miaka miwili, Umar RA miaka kumi, Uthman RA miaka kumi na miwili na Ali RA miaka sita.

.‫ كترتيبهم في الخالفة‬،‫ في الفضل‬- ‫ رضي الله عنهم أجمعين‬- ‫وترتيب الخلفاء الراشدين‬ ‫ فنخير أبا‬،‫ كنا نخير بين الناس في زمن النبي صلى الله عليه وسلم‬:‫وأخرج البخاري في صحيحه عن ابن عمر رضي الله عنهما قال‬ .‫ ثم عثمان بن عفان رضي الله عنهم‬،‫ ثم عمر بن الخطاب‬،‫بكر‬ ‫ (اقتدوا‬:‫وألبي بكر وعمر رضي الله عنهما مزية في أن النبي صلى الله عليه وسلم أمرنا باالقتداء بهما فقال صلى الله عليه وسلم‬ .‫ أبي بكر و عمر) رواه اإلمام أحمد والترمذي وابن ماجه‬:‫باللذين من بعدي‬ ‫ ومن كان‬،‫ فمن كان منهم مصيباً فله أجران‬،‫ويعتقد أهل السنة أن ما حصل بين الصحابة من الفتن إنما صدر عن تأو ٍل واجتهاد‬ .‫مخطئاً فله أج ٌر واحد وخطؤه مغفو ٌر له‬ Na taratibu ya makhalifa waongofu RA katika fadhila ni kama taratibu yao katika Khilafah. Na Bukhari amepokea hadithi ya ibn Umar RA amesema: [Tulikuwa tukichagua bora katika zama za

  Abdul-Majid bin Muhammad Al-Munii‘  |  25 

Mtume SAW, basi tukimchagua bora AbuBakr RA kisha Umar RA kisha Uthman RA.] Na AbuBakr na Umar RA wana kipambanuzi zaidi kwani Mtume SAW ametuamrisha tuwafuate pindi aliposema: [Wafuateni wawili ambao watakuwa baada yangu mimi, Abubakr na Umar] amepokea hadithi Imam Ahmad, Tirmidhi na Ibnu Majah. Na wanaitakidi Ahlu Sunnah wal Jama’ah kuwa kile kilichopita baina ya maswahaba katika Fitnah chanzo chake ni ta’weel na ijtihaad, basi aliyekuwa sawa ana ujira mara mbili na aliekosea ana ujira moja na kosa lake ni la kusamehewa.

ً :‫فاجرا‬ ‫طاعة ولي أمر المسلمين وحضور الجمعة والجماعة ونحوها معه َّبر ًا كان أو‬ ‫ومن عقيدة أهل السنة والجماعة أنهم يرون وجوب طاعة إمام المسلمين ونصرته وحضور الجمعة والجماعة واألعياد والحج والجهاد‬ ‫ مع وجوب نصحه في ذلك كما قال صلى الله عليه‬،‫ فال يتركون حضور هذه العبادات العظيمة لفسق اإلمام‬،ً ‫معه ب َّرا ً كان أو فاجرا‬ .‫ وعامتهم) رواه مسلم‬،‫ وألئمة المسلمين‬،‫ ولرسوله‬،‫ ولكتابه‬،‫ (لله‬:‫ لمن يا رسول الله؟ قال‬:‫ (الدين النصيحة) قالوا‬:‫وسلم‬

Kumtii Kiongozi wa Waislamu

Na Kuhudhuria Swalah Ya Jumu’ah Na Jama’ah Na Mengineo Pamoja Naye, Awe Ni Mwema Au Ni Muovu Na katika Aqiida ya Ahlu Sunnah Wal Jama’ah ni kuwa wanaona uwajibu wa kumtii Kiongozi wa Waislamu na kumnusuru, na kuhudhuria pamoja naye Swalah ya Ijumaah, ya Jama’ah na Eid, pamoja na Hajj, na Jihaad, awe yule Kiongozi ni mwema au muovu. Kwa hakika hawaachi kuhudhuriya Hizi Ibada Kubwa kwa ajili ya uasi wa Kiongozi (Uasi au Maovu yasiyomtoa katika Dini) pamoja na kuwa ni wajibu Kumnasihi kuacha ma’asiya . . . Kama alivyosema Mtume SAW: [Dini ni Nasaha. Wakauliza ma–Swahaba; kwa nani Ewe Mtume wa Allah SW? Akajibu: Kwa Ajili ya Allah SW, Kitabu Chake, Mtume Wake, na Kiongozi wa Waislamu na Waislamu kwa jumla.] Imepokewa na Imam Muslim.

:‫خلع اإلمام إذا طرأ عليه الكفر‬ ‫ ولو طرأ على اإلمام الكفر سقطت طاعته ووجب إعالن الجهاد‬،ً‫ومن عقيدة أهل السنة والجماعة أنهم ال يعقدون للكافر إمامة‬ ‫ قال‬،‫ وإن لم يُمكنهم وجب عليهم اإلعداد لذلك ألن ما ال يتم الواجب إال به فهو واجب‬،‫إمام عادل إن أمكنهم ذلك‬ ٍ ‫لخلعه ونصب‬ ‫ (دعانا النبي صلى الله عليه وسلم فبايعناه فقال فيما أخذ علينا أن بايعنا على السمع والطاعة‬:‫عبادة بن الصامت رضي الله عنه‬ ‫ إال أن تروا كفرا ً بواحاً عندكم من الله فيه برهان) أخرجه‬،‫ وأن ال ننازع األمر أهله‬،‫في منشطنا ومكرهنا وعسرنا ويسرنا وأثر ٍة علينا‬ .‫البخاري ومسلم في صحيحيهما‬

Kung’olewa Kiongozi

Pindi Inapochipukiza (Na Kudhihiri) Kwake Ukafiri Na katika Aqiida ya Ahlu Sunnah Wal Jama’ah ni kutothibitisha (kupinga) uongozi wa kikafiri, na ikichupukiza na kudhihirika Ukafiri kwa Kiongozi (wa Kiislamu), basi kumtii kwake kunabatilika na inalazimika kutangaza Jihaad ili an’golewe na kuwekwe Kiongozi mwingine Muadilifu ikiwa hilo litawezekana. Na ikiwa hilo haliwezekani basi itawalazimu wao kufanya matayarisho ya hayo kwa sababu ikiwa jambo la wajibu haliwezi kutekelezwa ila kwa jambo lingine, basi hilo lingine linakuwa la wajibu. Amesema ‘Ubadah bin Swaamit RA, [Bwana Mtume SAW alituita na tukampa Bai’ah, Akasema (‘Ubadah) alilotuchukulia katika Bai’ah ni: Kusikiza na Kutii katika tunayopenda na tunayochukia, katika uzito wetu na wepesi wetu na Tujitoe muhanga, na wala Tusiwaondoe viongozi ila ikiwa tutaona kwao Ukafiri uliyo wazi ambao una dalili kutoka kwa Allah SW] Hadith imepokewa na Imam Bukhari na Muslim.

  26  |  Aqiida Ya Kundi Lenye Ushindi 

‫وأما الحكومات المتسلِّطة على ديار المسلمين اليوم والتي ت َّدعي اإلسالم فهذه الحكومات قد دخلت في الكفر من أوسع أبوابه‬ :‫الرتكابها عددا ً من نواقض اإلسالم منها‬ Ama serikali za sasa zilizotawala miji ya Waislamu na ambazo zinadai Uislamu, hizi serikali zote, kwa hakika, zimeingia katika ukafiri kupitia mlango uliyo mpana sana, kwa kufanya mambo kadha ya kuvunja na kubatilisha Uislamu wao, kama vile:

ِ ‫اب ُّمتَ َف ِّرقُو َن َخ ْي ٌر أَ ِم اللّ ُه الْ َو‬ .]39 :‫اح ُد الْ َق َّها ُر} [يوسف‬ ٌ َ‫ {أَأَ ْرب‬:‫ قال تعالى‬،‫) تشريعهم مع الله ما لم يأذن به الله‬1.1 1.  Kumshirikisha Allah SW katika kutunga kwao sheria, jambo ambalo Allah SW Hakuidhinisha. Amesema Allah SW: {{Je! Waungu wengi wanaofarikiana ndio bora (kuabudiwa) au Mwenyezi Mungu Mmoja, Mwenye Nguvu (juu ya kila kitu)?}} [Suurah Yusuf 39]

‫ كاتباعهم لتشريعات‬،‫ ودخولهم في أحالفهم الشركية‬،‫) طاعتهم للمش ِّرعين المحلِّيين والدوليين واتباعهم لتشريعاتهم الكفرية‬2.2 ‫ {أَ ْم لَ ُه ْم‬:‫ قال تعالى‬،‫هيئة األمم المتحدة وغيرها مع مخالفة هذه التشريعات والتحالفات لشرع الله تعالى؛ بل ومحاربته‬ ‫ {إِ َّن ال َِّذي َن ا ْرتَ ُّدوا َعلَى أَ ْدبَا ِر ِهم ِّمن بَ ْع ِد َما ت َ َب َّي َن‬:‫ وقال سبحانه‬،]21 :‫شُ َركَاء شَ َر ُعوا لَ ُهم ِّم َن الدِّينِ َما لَ ْم يَأْذَن ِب ِه اللَّ ُه} [الشورى‬ ‫لَ ُه ُم الْ ُه َدى الشَّ يْطَا ُن َس َّو َل لَ ُه ْم َوأَ ْملَى لَ ُه ْم * َذلِ َك ِبأَنَّ ُه ْم قَالُوا لِل َِّذي َن كَ ِر ُهوا َما نَ َّز َل اللَّ ُه َس ُن ِطي ُع ُك ْم ِفي بَ ْع ِض الْ َ ْم ِر َواللَّ ُه يَ ْعلَ ُم‬ .]26-25 :‫إِ ْس َرا َر ُه ْم} [محمد‬ 2.  Kuwatii Makafiri wenye kutunga sheria na kuhalalisha kwao, na kuwafuata katika sheria zao za Kikafiri, na kuingia katika miungano yao ya Ushirikina, kama vile kufuata sheria za Umoja wa Mataifa (UN) na wengineo, pamoja na kuwa hizi sheria na hii Miungano inapinga na kukhalifu Shari’ah ya Allah SW, bali na inaipiga vita vilevile. Amesema Allah SW: {{Oh! Wana washirika (wa Mwenyezi Mungu) waliowawekea Dini Asiyoitolea Mwenyezi Mungu ruhusa (yake)}} [Suurah Ash–Shuura 21]. Na Akasema Allah SW: {{Kwa hakika wale wanaorudi kimgongomgongo (kinyumenyume katika dini yao ya ukafiri baada ya kwisha kusilimu) baada ya kuwabainikia Uwongofu, Shetani amewadanganya; na (Mwenyezi Mungu) Anawapa muda. Huko (kuhisabika kuwa wamewacha Dini) ni kwa sababu wao waliwaambia wale (makafiri) waliochukia yale Aliyoyateremsha Mwenyezi Mungu: “Tutakutiini katika baadhi ya mambo (yenu mnayokwenda kinyume na Muhammad)” Na Mwenyezi Mungu Anajua siri zao}} [Suurah Muhammad 25–26]

‫ {فَال‬:‫ وقال تعالى‬،]44 :‫ { َو َم ْن لَ ْم يَ ْح ُك ْم ِب َما أَنْ َز َل اللَّ ُه فَأُولَ ِئ َك ُه ُم الْكَا ِف ُرونَ} [المائدة‬:‫ قال تعالى‬،‫) حكمهم بغير ما أنزل الله‬3.3 .]65:‫َو َربِّ َك ال يُ ْؤ ِم ُنو َن َحتَّى يُ َح ِّك ُم َوك ِفي َما شَ َج َر بَيْ َن ُه ْم ث ُ َّم ال يَ ِج ُدوا ِفي أَنْف ُِس ِه ْم َح َرجاً ِم َّما قَضَ يْ َت َويُ َسلِّ ُموا ت َْسلِيماً} [النساء‬ 3.  Kuhukumu kwao kwa kile ambacho Allah SW Hakuteremsha. Amesema Allah SW: {{Na wasiohukumu kwa yale Aliyoteremsha Mwenyezi Mungu, basi hao ndio Makafiri}} [Suurah Al–Maidah 44] Na Akasema Allah SW: {{Naapa kwa (haki ya) Mola Wako, wao hawawi wenye kuamini (kweli kweli) mpaka wakufanye (wewe ndiye) hakimu (mwamuzi) katika yale wanayokhitalifiana, kisha wasione uzito nyoyoni mwao juu ya hukumu uliyotoa, na wanyenyekee kabisa}} [Suurah An–Nisaa 65]

‫ وعقدوا معهم‬،‫) مظاهرتهم وتوليهم للكفار من اليهود والنصارى والمشركين وحمايتهم ونصرتهم ومنع من يُنكر عليهم كفرهم‬4.4 :‫ وقال تعالى‬،]51 :‫ { َو َمن يَتَ َولَّ ُهم ِّمن ُك ْم فَ ِإنَّ ُه ِم ْن ُه ْم} [المائدة‬:‫ قال تعالى‬،‫اتفاقيات ومعاهدات النصرة بالنفس والمال واللسان‬ ‫اب لَ ِئ ْن أُ ْخ ِر ْجتُ ْم لَ َن ْخ ُر َج َّن َم َع ُك ْم َولَ ن ُِطي ُع ِفي ُك ْم أَ َح ًدا أَبَ ًدا‬ ِ َ‫{أَلَ ْم ت َر إِلَى ال َِّذي َن نَافَقُوا يَقُولُو َن ِ ِل ْخ َوانِ ِه ُم ال َِّذي َن كَ َف ُروا ِم ْن أَ ْهلِ الْ ِكت‬ ‫ كما قام هؤالء الحكام الخونة بقتال الموحدين المجاهدين‬،]11 :‫نص َرنَّ ُك ْم َواللَّ ُه يَشْ َه ُد إِنَّ ُه ْم لَكَا ِذبُونَ} [الحشر‬ ُ ‫َوإِن قُوتِلْتُ ْم لَ َن‬ ً - ‫ عليهم من الله ما يستحقون‬- ‫ومطاردتهم وحبسهم وإيصال األذى إليهم بكل ما أوتوا من قوة خدمة لليهود والنصارى‬ ‫ {لَ تَ ِج ُد قَ ْو ًما يُ ْؤ ِم ُنو َن بِاللَّ ِه َوالْ َي ْو ِم ْال ِخ ِر يُ َوا ُّدو َن َم ْن َحا َّد اللَّ َه‬:‫وكذا إعالنهم للمودة المطلقة للنصارى والمشركين قال تعالى‬   Abdul-Majid bin Muhammad Al-Munii‘  |  27 

‫] وما أكثر ما يُعلنون ذلك عبر وسائل اإلعالم بكل‬22 :‫َو َر ُسولَ ُه َولَ ْو كَانُوا آبَاء ُه ْم أَ ْو أَبْ َناء ُه ْم أَ ْو إِ ْخ َوانَ ُه ْم أَ ْو َع ِشي َرتَ ُه ْم} [المجادلة‬ .‫وقاحة وصفاقة‬ 4.  Kuwasaidia na kuwafanya marafiki Makafiri iwe ni mayahudi, manasara au washirikina, kuwalinda na kuwanusuru, pamoja na kumzuilia yeyote atakayekanusha Ukafiri wao. Kisha wakathibitisha makubaliano, na ahadi za kuwanusuru kwa nafsi, mali na ulimi. Amesema Allah SW: {{Enyi Mlioamini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa marafiki (wa kuwapa siri zenu); wao kwa wao ni marafiki. Na miongoni mwenu atakayefanya urafiki huo nao, basi huyo atakuwa pamoja nao}} [Suurah Al–Maidah 51] Na Akasema Allah SW: {{Huwaoni wale wanafiki wanawaambia ndugu zao Makafiri miongoni mwa watu waliopewa Kitabu (kabla yenu) Mayahudi, (wanawaambia) “Kama mkitolewa (mkifukuzwa hapa), tutaondoka pamoja nanyi, wala hatutamtii yoyote kabisa juu yenu, na kama mkipigwa vita lazima tutakusaidieni” Na Mwenyezi Mungu Anashuhudia ya kuwa wao ni waongo}} [Suurah Al–Hashr 11] Kama walivyofanya hawa viongozi wenye khiyana, kwa kuwapiga vita Mujahidiin wanaompwekesha Allah SW, kisha wakawafukuza na (wengine) kuwafunga jela na kuwafanyia maudhi yote, kwa nguvu walizopewa ili kuwafanyia kazi mayahudi na manasara, Tunaomba yawafike kutoka kwa Allah SW wanayoyastahiki. Na vile vile kutangaza kwao mapenzi yasiyokuwa na mpaka kwa manasara na washirikina. Amesema Allah SW: {{Huwapati (huwaoni) watu wanaomuamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho, kuwa wanawapenda wale wanaompinga Mwenyezi Mungu na Mtume Wake; hata wakiwa ni baba zao au watoto wao au ndugu zao au jamaa zao}} [Suurah Al–Mujaadilah 22] Na yamezidi mno matangazo yao hayo (ya Ukafiri wao) kupitia vyombo vya khabari bila kuona haya wala aibu.

‫ {إِنَّ َما ال َّن ِسي ُء ِزيَا َد ٌة‬:‫ قال تعالى‬،‫ كمؤسسات الربا‬،‫) استحاللهم الحرام بالترخيص له وحمايته وحراسته والتواطؤ واالصطالح عليه‬5.5 ‫ِفي الْ ُك ْف ِر يُضَ ُّل ِب ِه ال َِّذي َن كَ َف ُروا ْ يُ ِحلِّونَ ُه َعا ًما َويُ َح ِّر ُمونَ ُه َعا ًما لِّ ُي َو ِاط ُؤوا ْ ِع َّد َة َما َح َّر َم اللّ ُه فَ ُي ِحلُّوا ْ َما َح َّر َم اللّ ُه ُزيِّ َن لَ ُه ْم ُسو ُء أَ ْع َمالِ ِه ْم‬ .]37 :‫َواللّ ُه الَ يَ ْه ِدي الْ َق ْو َم الْكَا ِفرِي َن} [التوبة‬ 5.  Wao kuhalalisha ya haramu kwa kupeana rukhsa, kuipa himaya, kuilinda, na kupangiliya (ya haramu yawe halali) kwa kutafutia istilahi (maneno) ya kuhadaa, mfano, kama vile Taasisi za Riba (yaani mabenki). Amesema Allah SW: {{Bila shaka kuakhirisha (miezi mitukufu isije upesi) ni kuzidi katika Ukafiri; kwa hayo hupotezwa wale waliokufuru; wanauhalalisha (Mwezi mtukufu) mwaka mmoja na kuuharamisha mwaka (mwengine), ili wafanye kuwa sawa idadi ya ile (miezi) Aliyoitukuza Mwenyezi Mungu (Aliyoiharamisha Mwenyezi Mungu), kwa hivyo huhalalisha Alivyoviharamisha Mwenyezi Mungu. Wamepambiwa ubaya wa vitendo vyao (hivi). Na Mwenyezi Mungu Hawaongozi watu makafiri}} [Suurah At–Tawbah 37]

‫) استهزاؤهم بدين الله والترخيص للمستهزئين وحمايتهم وس ُّن القوانين التشريعية التي تر ّخص لهم وتسهل لهم هذا االستهزاء‬6.6 .]66-65 :‫ {ق ُْل أَبِاللّ ِه َوآيَاتِ ِه َو َر ُسولِ ِه كُنتُ ْم ت َْستَ ْه ِز ُؤو َن * الَ تَ ْعتَ ِذ ُروا ْ قَ ْد كَ َف ْرت ُم بَ ْع َد إِي َمانِ ُك ْم} [التوبة‬:‫ قال تعالى‬،‫عبر وسائل اإلعالم‬ 6.  Wao kufanyia istihzai (kejeli) Dini ya Allah SW na kuwapa rukhsa wenye kufanya istihzai, na kuwalinda, na kubuni kanuni ambazo zitawapa rukhsa, na kuwasalihishia wao kufanya kejeli Dini ya Allah SW katika vyombo vya khabari. Amesema Allah SW: {{Na kama ukiwauliza (kwa nini wanaifanyia Dini mzaha) wanasema: “Sisi tulikuwa tukizungumzazungumza na kucheza tu.” Sema: “Mlikuwa mkimfanyia mzaha Mwenyezi

  28  |  Aqiida Ya Kundi Lenye Ushindi 

Mungu na Aya Zake na Mtume Wake?” Msitoe udhuru (wa uwongo); umekwisha kudhihiri ukafiri wenu (mliokuwa mkiuficha) baada ya kule kuamini kwenu (kwa uwongo)}} [Suurah At– Tawbah 65–66]

.‫وغير ذلك من نواقض اإلسالم التي ارتكبوها ولالختصار نكتفي بما سبق‬ Na mengineo yasiyokuwa hayo, ambayo wameyatenda yakubatwilisha Uislamu wao, na kwa mukhtasar tutosheke na yaliyotangulia.

:‫التحذير من االبتداع في الدين‬ ‫ومن عقيدة أهل السنة والجماعة اقتفاء آثار السلف الصالح في اتباعهم لكتاب الله سبحانه وتعالى وسنة رسوله صلى الله عليه‬ }‫يت لَ ُك ُم ا ِإل ْسالَ َم ِدي ًنا‬ ُ ‫ {الْ َي ْو َم أَكْ َمل ُْت لَ ُك ْم ِدي َن ُك ْم َوأَتْ َم ْم ُت َعلَ ْي ُك ْم نِ ْع َم ِتي َو َر ِض‬:‫وسلم وعدم االبتداع في الدين فقد قال الله تعالى‬ ،)‫ (من رغب عن سنتي فليس مني‬:‫ قال رسول الله صلى الله عليه وسلم‬:‫ وفي الصحيحين عن أنس رضي الله عنه قال‬،]3 :‫[المائدة‬ ‫ (دعوني ما تركتكم فإنما أهلك من كان قبلكم كثرة‬:‫وفيهما عن أبي هريرة رضي الله عنه عن رسول الله صلى الله عليه وسلم قال‬ ‫ (أما‬:‫ وفي صحيح مسلم من حديث جابر بن عبد الله رضي الله عنهما قال صلى الله عليه وسلم‬،)‫سؤالهم واختالفهم على أنبيائهم‬ :‫ وقال صلى الله عليه وسلم‬،)‫بعد فإن خير الحديث كتاب الله وخير الهدي هدي محمد وشر األمور محدثاتها وكل بدعة ضاللة‬ ‫ (عليكم بسنتي وسنة الخلفاء‬:‫ وقال صلى الله عليه وسلم‬،‫(تركت فيكم ما لن تضلوا بعده إن اعتصمتم به كتاب الله) رواه مسلم‬ ‫ فإن كل بدعة ضاللة) أخرجه أهل‬،‫ وإياكم ومحدثات األمور‬،‫ وعضُّ وا عليها بالنواجذ‬،‫ تمسكوا بها‬،‫الراشدين المهديين من بعدي‬ .‫ حديث حسن صحيح‬:‫السنن وقال الترمذي‬

Tahadhari Kutokana na Uzushi Katika Dini

Na katika Aqiida ya Ahlu Sunnah wal Jama’ah ni kutosheka na Athari za Salafu Saleh (Wema Waliotangulia) kuwafuata katika Kitabu cha Allah SW na Sunnah za Mtume SAW, bila ya kuzua na kuleta Bid’ah katika Dini. Amesema Allah SW: {{Leo Nimekukamilishieni Dini yenu, na Kukutimizieni Neema Yangu juu yenu, na Nimekupendeleeni Uislamu uwe Dini yenu}} [Suurah Al–Maidah 3]. Anas bin Malik RA Amesema kuwa Mtume SAW Amesema: [Yeyote atakayechukia Sunnah yangu (Mwenendo wangu) basi si katika mimi] wapokezi wa Hadith ni Bukhari na Muslim. Vilevile wamepokea Hadith ya Abu Hurayrah RA kutoka kwa Mtume SAW, kuwa Amesema: [Niacheni (Toshekeni) nilipowaacha, bila shaka waliangamia walokuwa kabla yenu kwa wingi wa maswali yao na kwenda kinyume na Manabii wao]. Imam Muslim amepokea Hadith ya Jabir bin Abdillah RA kuwa Mtume SAW amesema: [Ama baada (ya Himdi) kwa Hakika Bora ya Maneno ni Kitabu cha Allah SW na Bora ya Uongofu ni Uongofu wa Muhammad SAW, na shari ya mambo ni yenye kuzuliwa, na kila Bid’ah (Uzushi) ni upotofu]. Na Amesema Mtume SAW: [Nimewaachieni jambo, ambalo hamtopotea baada yangu mimi ikiwa mutashikamana nalo, (yaani) Kitabu cha Allah SW] Amepokea Hadith Hii Imam Muslim. Na Akasema Mtume SAW: [Shikamaneni na Sunnah yangu na Sunnah ya Makhalifa waongofu baada yangu mimi, shikamaneni nayo na muikamate kwa meno ya magego, Na tahadharini sana na mambo ya kuzuliwa, kwani kila Uzushi (Bid’ah) ni upotofu] Hadith imepokewa na wenye Sunan na akasema Imam Tirmidhi ni Hadith Hasan–Sahih.

.)‫ (اقتصا ٌد في سنة خي ٌر من اجتها ٍد في بدعة‬:ً‫ (اتبعوا وال تبتدعوا فقد كُفيتم) وقال أيضا‬:‫قال عبد الله بن مسعود رضي الله عنه‬ ‫ واتباع سنة نبيه‬،‫ واالقتصاد في أمره‬،‫ أوصيك بتقوى الله‬:‫ (أما بعد‬:‫وكتب عمر بن عبد العزيز في وصي ٍة له لرجلٍ سأله عن القدر‬ ،‫ فعليك بلزوم السنة فإنها لك بإذن الله عصمة‬،‫ وكفوا مؤونته‬،‫ وترك ما أحدث المحدثون بعد ما جرت به سنته‬،‫صلى الله عليه وسلم‬ ‫ فإن السنة إنما س َّنها من قد علم ما في خالفها‬،‫ أو عبرة فيها‬،‫ثم اعلم أنه لم يبتدع الناس بدع ًة إال قد مضى قبلها ما هو دليل عليها‬ ‫ ولهم على‬،‫ وببص ٍر نافذ كفَّوا‬،‫علم وقفوا‬ ٍ ‫ فإنهم على‬،‫ فارض لنفسك ما رضي به القوم ألنفسهم‬،‫ والحمق والتعمق‬،‫من الخطأ والزلل‬   Abdul-Majid bin Muhammad Al-Munii‘  |  29 

،‫ ولئن قلتم إنما حدث بعدهم‬،‫ فإن كان الهدى ما أنتم عليه لقد سبقتموهم إليه‬،‫ وبفضل ما كانوا فيه أولى‬،‫كشف األمور كانوا أقوى‬ ،‫ ووصفوا منه ما يشفي‬،‫ فقد تكلموا فيه بما يكفي‬،‫ فإنهم هم السابقون‬،‫ ورغب بنفسه عنهم‬،‫ما أحدثه إال من اتبع غير سبيلهم‬ ‫ وإنهم بين ذلك لعلى هدى‬،‫ وطمح عنهم أقوام فغلوا‬،‫ وقد قصر قوم دونهم فجفوا‬،‫محسر‬ ِّ ‫ وما فوقهم من‬،‫فما دونهم من مقصر‬ .)...‫مستقيم‬ .)‫ وإياك وآراء الرجال وإن زخرفوه لك بالقول‬،‫ (عليك بآثار من سلف وإن رفضك الناس‬:‫وقال اإلمام األوزاعي رحمه الله‬ Abdullah bin Mas’oud RA amesema: ((Fuateni na wala musizue kwani mumetoshelezwa)) na Akasema tena: ((Kuchuma (kichache) katika Sunnah ni Bora kuliko kujitahidi (kwa mengi) ya Bid’ah na Uzushi)) Umar bin AbdilAziz aliandika katika wasiya wake akimjibu aliyemuuliza kuhusu Qadar: ((Ama baada (ya Himdi) Nakuusiya kumcha Allah SW, na kuchuma katika Amri Yake, na kufuata Sunnah ya Nabii Wake, na kuacha yalozuliwa na wazushi baada ya kuwa Sunnah yake imethubutu. Na komesheni usaidizi wa Bid’ah, na ni wajibu wako kujilazimisha Sunnah (Mwenendo wa Mtume SAW), kwa hakika itakuwa ni hifadhi kwako kwa Idhni ya Allah SW. Kisha fahamu kuwa hawazui watu uzushi ila imepita kabla yake dalili au zingatio ya kuivunja. Kwa hakika Sunnah Imewekwa na Yule Anayejua kuwa kinyume chake ni makosa na upotofu, na upumbavu na kuvuka mpaka. Basi iridhie nafsi yako lile ambalo wema waliridhiya nafsi zao, kwani wao walitulia penye Elimu, na kwa busara wakatulia, nao katika kufahamu mambo walikuwa wamejizatiti, na lile waliloacha ndilo bora. Na ikiwa Uongofu ni yale muliyonayo basi tayari waliwatanguliya katika hayo. Na ikiwa mutasema hakika yamefanyika baada yao, basi hayakuzuliwa ila na yule asiyefuata njia yao, na akapendelea nafsi yake kuwaliko wao. Kwani hakika wao ndio walotutanguliya, na kwa yakini walizungumzia yanayotosha, na wakasifu ndani yake yanayotuliza, basi aliye chini yao amepunguza na aliye juu yao ni mwenye majuto. Kwa yakini walipunguza baadhi ya watu wakaifanya (Dini) ikawa kavu, na wengine wakataka zaidi basi wakavuka mpaka. Lakini wao (SalafusSalih) walikuwa baina ya hayo katika Uongofu uliyonyooka)) Na amesema Imam Al–Anza’i: ((Jilazimisheni Athari za Wema Walotanguliya (Maswahaba) hata kama watu watakupinga, na tahadhari na rai za watu hata wakikupambia kwa maneno))

:‫مواالة المؤمنين ومعاداة الكافرين‬ ‫ {يَا أَيُّ َها ال َِّذي َن آ َم ُنوا ْ َمن‬:‫ قال الله تعالى‬،‫ وبغض الكافرين ومعاداتهم‬،‫ومن عقيدة أهل السنة والجماعة محبة المؤمنين ومواالتهم‬ َ‫يَ ْرتَ َّد ِمن ُك ْم َعن ِدي ِن ِه ف ََس ْو َف يَأْتِي اللّ ُه ِب َق ْو ٍم يُ ِح ُّب ُه ْم َويُ ِح ُّبونَ ُه أَ ِذلَّ ٍة َعلَى الْ ُم ْؤ ِم ِني َن أَ ِع َّز ٍة َعلَى الْكَا ِفرِي َن يُ َجا ِه ُدو َن ِفي َسبِيلِ اللّ ِه َوال‬ ‫الصالَ َة‬ َّ ‫يَ َخافُو َن لَ ْو َم َة آلئِ ٍم َذلِ َك فَضْ ُل اللّ ِه يُ ْؤتِي ِه َمن يَشَ اء َواللّ ُه َو ِاس ٌع َعلِي ٌم * إِنَّ َما َولِيُّ ُك ُم اللّ ُه َو َر ُسولُ ُه َوال َِّذي َن آ َم ُنوا ْ ال َِّذي َن يُ ِقي ُمو َن‬ ‫َويُ ْؤت ُو َن ال َّزكَا َة َو ُه ْم َراكِ ُعو َن * َو َمن يَتَ َو َّل اللّ َه َو َر ُسولَ ُه َوال َِّذي َن آ َم ُنوا ْ فَ ِإ َّن ِح ْز َب اللّ ِه ُه ُم الْغَالِبُو َن * يَا أَيُّ َها ال َِّذي َن آ َم ُنوا ْ الَ تَتَّ ِخذُوا ْ ال َِّذي َن‬ ‫ وقال‬،]57-54 :‫اب ِمن قَ ْبلِ ُك ْم َوالْ ُكفَّا َر أَ ْولِ َياء َواتَّقُوا ْ اللّ َه إِن كُنتُم ُّم ْؤ ِم ِني َن} [المائدة‬ َ َ‫ات َّ َخذُوا ْ ِدي َن ُك ْم ُه ُز ًوا َولَ ِع ًبا ِّم َن ال َِّذي َن أُوتُوا ْ الْ ِكت‬ َ ُ ‫ { ُّم َح َّم ٌد َّر ُس‬:‫تعالى‬ ْ ‫ {يَا أيُّ َها ال َِّذي َن آ َم ُنوا ْ الَ تَتَّ ِخذُوا‬:‫ وقال تعالى‬،]29 :‫ول اللَّ ِه َوال َِّذي َن َم َع ُه أَ ِش َّداء َعلَى الْ ُكفَّا ِر ُر َح َماء بَ ْي َن ُه ْم} [الفتح‬ ِ‫ {يَا أَيُّ َها ال َّنب ُِّي َجا ِهد‬:‫ وقال تعالى‬،]144 :‫الْكَا ِفرِي َن أَ ْولِيَاء ِمن ُدونِ الْ ُم ْؤ ِم ِني َن أَتُرِي ُدو َن أَن تَ ْج َعلُوا ْ لِلّ ِه َعلَيْ ُك ْم ُسلْطَانًا ُّمبِي ًنا} [النساء‬ ‫ {يَا أَيُّ َها ال َِّذي َن آ َم ُنوا ْ قَاتِلُوا ْ ال َِّذي َن يَلُونَكُم ِّم َن الْ ُكفَّا ِر َولِيَ ِج ُدوا ْ ِفي ُك ْم ِغلْظَ ًة‬:‫ وقال تعالى‬،]73 :‫الْ ُكفَّا َر َوالْ ُم َنا ِف ِقي َن َوا ْغلُ ْظ َعلَيْ ِه ْم} [التوبة‬ )ً‫ (المؤمن للمؤمن كالبنيان المرصوص يش ُّد بعضه بعضا‬:‫ وقال صلى الله عليه وسلم‬،]123 :‫َوا ْعلَ ُموا ْ أَ َّن اللّ َه َم َع الْ ُمتَّ ِقي َن} [التوبة‬ ،‫ (مثل المؤمنين في توادهم‬:‫ وأخرجا أيضاً في صحيحيهما قوله صلى الله عليه وسلم‬،‫ رواه البخاري ومسلم‬.‫وشبك بين أصابعه‬ :‫ وقال صلى الله عليه وسلم‬،)‫ والسهر‬،‫ وتعاطفهم كمثل الجسد إذا اشتكى منه عضو تداعى له سائر الجسد بالحمى‬،‫وتراحمهم‬ .‫(جاهدوا المشركين بأموالكم وأنفسكم وألسنتكم) رواه اإلمام أحمد وأبو داود من حديث أنس بن مالك رضي الله عنه‬

Kuthibitisha Mapenzi kwa Waumini na Uadui kwa Makafiri

Na katika Aqiida ya Ahlu Sunnah wal Jama’ah ni kupatikana mapenzi kwa waumini na urafiki kwao, pamoja na chuki kwa makafiri na uadui kwao. Allah SW Amesema: {{Enyi mlioamini! Atakayeiacha miongoni mwenu Dini yake, basi hivi karibuni Mwenyezi Mungu Ataleta watu ambao Atawapenda nao

  30  |  Aqiida Ya Kundi Lenye Ushindi 

watampenda, wanyenyekevu kwa Waislamu (wenzao), wenye nguvu juu ya makafiri, wataipigania Dini ya Mwenyezi Mungu, wala hawataogopa lawama ya anayewalaumu. Hiyo ndiyo Fadhila ya Mwenyezi Mungu, Humpa Amtakaye na Mwenyezi Mungu ni Mwenye Wasaa (na) Mwenye Kujua. Rafiki yenu khasa (wa kumsafia nia) ni Mwenyezi Mungu na Mtume Wake na walioamini ambao husimamisha Swala na hutoa Zakah, na hali ya kuwa wananyenyekea. Na atakayefanya urafiki na Mwenyezi Mungu na Mtume Wake na walioamini (atafuzu) kwani (watu wa) kundi la Mwenyezi Mungu ndio watakaoshinda. Enyi mlioamini! Msiwafanye marafiki wale walioifanyia mzaha na mchezo Dini yenu miongoni mwa wale waliopewa Kitabu kabla yenu na miongoni mwa makafiri (wengine). Na mcheni Mwenyezi Mungu kama nyinyi ni wenye kuamini}} [Suurah Al–Maidah 54–57]. Na Akasema Allah SW: {{Muhammad ni Mtume wa Mwenyezi Mungu na walio pamoja naye ni wenye nyoyo thabiti mbele ya makafiri na wenye kuhurumiana wao kwa wao}} [Suurah Al–Fat’h 29]. Na Amesema Allah SW: {{Enyi mlioamini! Msiwafanye makafiri kuwa marafiki badala ya Waislamu, Mnataka awe nayo (Mtume wa) Mwenyezi Mungu hoja dhahiri juu yenu (ya kuwa nyinyi wabaya)?}} [Suurah An–Nisaa 144]. Na Akasema Allah SW: {{Ewe Nabii! Wapige Vita makafiri na wanafiki na uwe mgumu kwao, na makazi yao ni Jahannam, nayo ni marejeo mabaya}} [Suurah At–Tawbah 73]. Na Akasema Allah SW: {{Enyi mlioamini! Piganeni na wale makafiri walio karibu yenu (kwanza kwani ndio wenye madhara na nyinyi zaidi) na waukute ugumu kwenu (msilegee, mpigane nao barabara hata wajue kuwa wamekutana na wanaume kweli kweli, waogope kukuoneeni tena). Na jueni ya kwamba Mwenyezi Mungu Yu pamoja na wanaomuogopa (kama nyinyi ni hivi, kwa hiyo Atakunusuruni juu yao)}} [Suurah At–Tawbah 123]. Na akasema Mtume SAW: [Muislamu kwa muislamu ni kama jengo lililonyooka linajipa nguvu baadhi yake kwa nyingine (na akaonesha kwa kuingizanisha vidole baina ya mikono miwili)] amepokea Hadith Bukhari na Muslim. Wamepokea (Bukhari na Muslim) vilevile kauli ya Mtume SAW: [Mfano wa waumini katika kupendana kwao na kuhurumiana kwao, na kufanyiana upole ni kama mfano wa kiwiliwili, ikiwa kitashtakia kiungo katika mwili basi mwili wote nao utalalamika kwa homa na kukesha usiku] Na akasema Mtume SAW: [Wapigeni Jihaad washirikina kwa mali zenu na nafsi zenu na ndimi zenu] imepokewa na Imam Ahmad na Imam Abu Daud katika Hadith ya Anas RA.

:‫المذاهب الكفرية الحديثة‬ :‫ومن المذاهب الكفرية الحديثة التي يجب البراءة منها ما يلي‬

Mapote ya Kikafiri ya Zama Hizi

Na miongoni mwa mapote ya kikafiri ya zama hizi ambayo yanalazimu kujiepusha mbali kabisa nayo na kuyafanyia uadui ni yafuatayo:

:‫ العلمانية‬‫ {إِ َّن ال َِّذي َن يَ ْك ُف ُرو َن بِاللَّ ِه‬:‫ فهذا المذهب هو من اإليمان ببعض الكتاب والكفر ببعضه اآلخر قال تعالى‬،‫وهي فصل الدين عن الحياة‬ ‫َو ُر ُسلِ ِه َويُرِي ُدو َن أَ ْن يُ َف ِّرقُوا بَيْ َن اللَّ ِه َو ُر ُسلِ ِه َويَقُولُو َن نُ ْؤ ِم ُن ِببَ ْع ٍض َونَ ْك ُف ُر ِببَ ْع ٍض َويُرِي ُدو َن أَ ْن يَتَّ ِخذُوا بَيْ َن َذلِ َك َسبِيالً * أُولَ ِئ َك ُه ُم‬ ‫ وقد بيَّن الله تعالى في كتابه أنه أكمل دين اإلسالم ورضيه لنا وأتم‬،]151-150 :‫الْكَا ِف ُرو َن َح ّقاً َوأَ ْعتَ ْدنَا لِلْكَا ِفرِي َن َعذَاباً ُمهِيناً} [النساء‬ ‫ وب َّين خسارة‬،]3 :‫يت لَ ُك ُم الْ ِ ْسال َم ِديناً} [المائدة‬ ُ ‫ {الْ َي ْو َم أَكْ َمل ُْت لَ ُك ْم ِدي َن ُك ْم َوأَتْ َم ْم ُت َعلَ ْي ُك ْم نِ ْع َم ِتي َو َر ِض‬:‫علينا به النعمة فقال تعالى‬ .]85:‫الم ِديناً فَلَ ْن يُ ْق َب َل ِم ْن ُه َو ُه َو ِفي ْال ِخ َر ِة ِم َن الْ َخ ِاسرِي َن} [آل عمران‬ ِ ‫ { َو َم ْن يَ ْبتَغِ َغ ْي َر الْ ِ ْس‬:‫من ابتغى غيره من األديان فقال تعالى‬ USEKULA: Nayo ni kugawanisha baina ya Dini na Uhai wa Dunia, basi hili pote limepatikana kutokana na kuamini baadhi ya Qur’an na kukufuru baadhi nyingine. Amesema Allah SW: {{Hakika wale wanaomkanusha Mwenyezi Mungu na Mitume Wake, na wanataka kutenga baina ya Mwenyezi Mungu na Mitume Wake, kwa kusema: “Wengine tunawaamini na wengine tunawakataa”, na wanataka kushika njia iliyo katikati ya haya (si ya Kiislamu khasa wala ya Kikafiri), Hao ndio makafiri kweli. Na Tumewaandalia makafiri adhabu idhalilishayo}} [Suurah An–Nisaa 150–151]

  Abdul-Majid bin Muhammad Al-Munii‘  |  31 

Na hakika Amebainisha Allah SW katika Kitabu Chake kuwa Yeye Amekamilisha Dini ya Uislamu na Ameturidhiya nayo, na Ametutimizia nayo Neema Yake. Akasema Allah SW: {{Leo Nimekukamilishieni Dini yenu, na Kukutimizieni Neema Yangu juu yenu, na Nimekupendeleeni Uislamu uwe Dini yenu}} [Suurah Al–Maidah 3]. Na pia Akabainisha hasara ya anayefuata dini nyingine, Akasema Allah SW: {{Na atayetaka dini isiyokuwa ya Kiislamu basi haitakubaliwa kwake. Naye Akhera atakuwa katika wenye khasara (kubwa sana)}} [Suurah Al–Imraan 85]

:‫ الديموقراطية‬‫ فال يُحكم بين الناس بكتاب الله وإنما بما يرتضيه الشعب ويحكم به عن طريق البرلمان الذي يمثّلهم‬،‫وهي حكم الشعب للشعب‬ .‫ وقد ذكرنا سابقاً األدلة على كفر ال ُمش ِّرعين والحاكمين بغير ما أنزل الله‬- ‫ والعياذ بالله‬- ‫فيُش ِّرع من دون الله‬ DEMOKRASIA: Nayo ni hukumu ya watu kwa watu, hakuhukumiwi baina ya watu kwa Kitabu cha Allah SW, lakini ni kwa watakaloridhia watu ndilo litahukumiwa kupitia njia ya bunge ambayo imewakilisha watu, basi watatunga sheria kinyume na Shari’ah ya Allah SW, Tunamuomba Allah SW Atulinde kutokana na hayo. Na hapo mwanzo tayari tumetaja dalili za Ukafiri wa wenye kutunga sheria na wanaohukumu kwa yale ambayo Hayakuteremshwa na Allah SW.

:‫ الوطنية أو القومية ونحوها‬،‫وتعني أن الوالء لكل من ينتمي لهذا الوطن أو لهؤالء القوم حتى وإن كان يهودياً أو نصرانياً أو مشركاً أو غير ذلك من األديان‬ َ‫ {يَا أَيُّ َها ال َِّذي َن آ َم ُنوا ْ ال‬:‫ قال تعالى‬،‫وتفضيل من كان من هذا الوطن أو هؤالء القوم ولو كان مشركًا على من ليس منهم ولو كان مؤم ًنا‬ ‫تَتَّ ِخذُوا ْ آبَاءكُ ْم َوإِ ْخ َوانَ ُك ْم أَ ْولِيَاء إَنِ ْاستَ َحبُّوا ْ الْ ُك ْف َر َعلَى ا ِإلي َمانِ َو َمن يَتَ َولَّ ُهم ِّمن ُك ْم فَأُ ْولَ ِئ َك ُه ُم الظَّالِ ُمونَ* ق ُْل إِن كَا َن آبَا ُؤكُ ْم َوأَبْ َنآ ُؤكُ ْم‬ ‫َوإِ ْخ َوانُ ُك ْم َوأَ ْز َوا ُج ُك ْم َو َع ِشي َرت ُ ُك ْم َوأَ ْم َو ٌال اقْتَ َرفْتُ ُمو َها َوتِ َجا َر ٌة ت َ ْخشَ ْو َن ك ََسا َد َها َو َم َساكِ ُن تَ ْرضَ ْونَ َها أَ َح َّب إِلَيْكُم ِّم َن اللّ ِه َو َر ُسولِ ِه َو ِج َها ٍد‬ ِ ‫ِفي َسبِيلِ ِه فَتَ َربَّ ُصوا ْ َحتَّى يَأْتِ َي اللّ ُه ِبأَ ْم ِر ِه َواللّ ُه الَ يَ ْه ِدي الْ َق ْو َم الْف‬ ‫ {ال ت َ ِج ُد قَ ْوماً يُ ْؤ ِم ُنو َن بِاللَّ ِه‬:‫ وقال تعالى‬،]24-23 :‫َاس ِقي َن} [التوبة‬ َ َ .]22:‫َوالْ َي ْو ِم ْال ِخ ِر يُ َوا ُّدو َن َم ْن َحا َّد اللَّ َه َو َر ُسولَ ُه َولَ ْو كَانُوا آبَا َء ُه ْم أَ ْو أَبْ َنا َء ُه ْم أ ْو إِ ْخ َوانَ ُه ْم أ ْو َع ِشي َرتَ ُهم} [المجادلة‬ UTAIFA, UJAMAA, UKABILA (na Mifano kama hiyo): Na ina maana kuwa kufanya urafiki na mapenzi kwa kila yule aliyefungamana na nchi hiyo, au jamaa hiyo, au hilo kabila hata kama ni myahudi, mnasara au mshirikina au mwengine yeyote katika dini nyingine potofu. Na kumfanya bora aliye wa nchi hiyo au kabila hilo ijapokuwa yeye ni Kafiri Mshirikina juu ya yule muislamu ambaye siye wa nchi hiyo au kabila hilo. Amesema Allah SW: {{Enyi mlioamini msiwafanye baba zenu na ndugu zenu kuwa vipenzi (vyenu) ikiwa wanastahabu (wanapenda) ukafiri kuliko Uislamu. Na katika nyinyi atakayewafanya hao kuwa ndio vipenzi vyake, basi hao ndio madhalimu (wa nafsi zao). Sema: “Kama baba zenu na wana wenu na ndugu zenu na wake zenu na jamaa zenu na mali mlizochuma na biashara mnazoogopa kuharibikiwa na majumba mnayoyapenda; (ikiwa vitu hivi) ni vipenzi zaidi kwenu kumliko Mwenyezi Mungu na Mtume Wake na kupigania Dini Yake, basi ngojeni mpaka Mwenyezi Mungu Alete Amri Yake, na Mwenyezi Mungu Hawaongozi watu waasi (njia iliyonyooka)}} [Suurah At– Tawbah 23–24]. Na Akasema Allah SW: {{Huwapati (huwaoni) watu wanaomuamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho, kuwa wanawapenda wale wanaompinga Mwenyezi Mungu na Mtume Wake; hata wakiwa ni baba zao au watoto wao au ndugu zao au jamaa zao}} [Suurah Al–Mujaadilah 22]

:‫الطائفة المنصورة‬ ‫ومن عقيدة أهل السنة والجماعة إيمانهم بأنه ال تزال طائفة من هذه األمة على الحق ال يضرها من خذلها وال من خالفها حتى تقوم‬ ‫ (ال تزال طائفة من أمتي قائمة بأمر الله‬:‫ سمعت رسول الله صلى الله عليه وسلم يقول‬:‫ فعن معاوية رضي الله عنه قال‬،‫الساعة‬ ‫ قال‬:‫ وله عن ثوبان رضي الله عنه قال‬،‫ال يضرهم من خذلهم أو خالفهم حتى يأتي أمر الله وهم ظاهرون على الناس) رواه مسلم‬ ،)‫ (وال تزال طائفة من أمتي على الحق ظاهرين ال يضرهم من خالفهم حتى يأتي أمر الله عز وجل‬:‫رسول الله صلى الله عليه وسلم‬ ‫ (ال تزال عصابة من أمتي يقاتلون‬:‫ سمعت رسول الله صلى الله عليه وسلم يقول‬:‫وله أيضاً عن عقبة بن عامر رضي الله عنه قال‬ ‫ وله أيضاً عن جابر بن عبد الله رضي الله‬،)‫على أمر الله قاهرين لعدوهم ال يضرهم من خالفهم حتى تأتيهم الساعة وهم على ذلك‬   32  |  Aqiida Ya Kundi Lenye Ushindi 

،‫ (ال تزال طائفة من أمتي يقاتلون على الحق ظاهرين إلى يوم القيامة‬:‫ سمعت رسول الله صلى الله عليه وسلم يقول‬:‫عنهما قال‬ .)‫ تكرمة الله هذه األمة‬،‫ ال إن بعضكم على بعض أمراء‬:‫ فيقول‬،‫صل لنا‬ ِّ ‫ تعال‬:‫ فيقول أميرهم‬،‫ فينزل عيسى بن مريم‬:‫قال‬

Kundi Lenye Ushindi (na Nguvu)

Na katika Aqiida ya Ahlu Sunnah wal Jama’ah ni Imaan yao kuwa hakutaacha kupatikana Kundi katika Ummah huu wakiwa juu ya Haki, hawatodhurika kwa wanaowasaliti na hata wanaowakhalifu mpaka kusimame Kiyama. Imepokewa kutoka kwa Mu’awiyah RA amesema nimemsikia Mtume SAW akisema: [Hakutoacha kupatikana kundi katika Ummah wangu, wamesimama kwa Amri ya Allah SW, hawatodhuriwa na (njama za) wanaowasaliti au kuwakhalifu mpaka Amri ya Allah SW ifike na watakuwa Washindi juu ya watu] Amepokea Hadith Muslim. Kutoka kwa Thaubaan RA amesema: Amesema Mtume SAW: [Na hakutoacha kupatikana Kundi katika Ummah wangu wakiwa katika Haki, ni Washindi, hawadhuriwi na wanaowakhalifu mpaka ije Amri ya Allah SW] Mpokezi ni Muslim. Kutoka kwa Uqbah bin Aamir RA amesema: Nimemsikia Mtume SAW akisema: [Hakutoacha kupatikana Kundi katika Ummah wangu wanapigana juu ya Amri ya Allah SW wakiwa wenye Nguvu juu ya adui zao, hawadhuriwi na wanaowakhalifu mpaka Qiyama kiwajiye na wao wako hivohivo (katika Ushindi)] Mpokezi ni Muslim. Imepokewa kutoka kwa Jaabir bin Abdillah RA amesema; nimemsikia Mtume SAW akisema: [Hakutoacha kupatikaniwa Kundi katika Ummah wangu wanapigana juu ya haki wakiwa Washindi mpaka Siku ya Qiyama, Akasema (Mtume SAW) atashuka Issa bin Maryam AS, kisha aseme Kiongozi wao (Al–Mahdi) Njoo utuswalishe, naye atajibu; La hakika nyinyi ni Viongozi, ni Tunuku la Ummah huu kutoka kwa Allah SW] Amepokea Hadith Muslim

.‫ وصلى الله وسلم على نبينا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين‬،‫هذا والله تعالى أعلم وأحكم‬ Hapa (tulipofika ndipo mwisho) na Allah SW Ndiye Mjuzi na Mwenye Hikma. Na tunamuomba Allah SW Amfikishie Swala na Salamu Nabii wetu Muhammad SAW, na familia yake na Maswahaba wake wote.

.‫ ويا مصرف القلوب اصرف قلوبنا إلى طاعتك‬،‫يا مقلب القلوب ثبت قلوبنا على دينك‬ Ewe Mwenye Kugeuza nyoyo, Zithibitishe nyoyo zetu katika Dini Yako, na Ewe Mwenye Kuzibadili nyoyo, Zibadili nyoyo zetu ili zikutii Wewe Pekee.

.‫اللهم إني أعوذ بعزتك ال إله إال أنت أن تضلني أنت الحي الذي ال يموت واإلنس والجن يموتون‬ Ewe Mola Hakika mimi najilinda kwa Izza Yako kutokana na kupotoshwa, Hamna Mola Apasaye kuabudiwa kwa Haki ila Wewe, Wewe Ndiye Uliye Hai na wala Hufi lakini wanadamu na majini wafa.

Kimefasiriwa 06 Shawwaal 1433 Baadal–Asr 02 Dec 2011 (16:52)

  Abdul-Majid bin Muhammad Al-Munii‘  |  33